Wataalamu wa Instagram ebu tupeni maujanja

when you follow me i follow you back.yah that is a common slogan in instagram.mi naipenda cos iko fair sana.hakuna ule u-selfishness kama wa fb.picha yako anaweza like hata mtu wa asia huko au america so long as unajua kutumia hashtags vizuri.
 
sio kweli.nahisi huna instagram account na kama unayo basi hauko active nayo.ni mtandao poa sana.otherwise tuombe tukupe ujanja wa kupata many followers.

Yap Instagram ipo bomba sana zaidi ya twitter
 
Last edited by a moderator:
Mkuu inategemeana na interest nakubaliana na wewe ni ujinga kuwepo kila social network unakuta mtu yupo twitter hafollow wala hana follower yeye yupo tu.

Inabidi sometime uwe capitalist uwepo sehemu ambayo una interest tu mfano business flani inakufanya uwe sehemu flani kama vile wanamuziki na wacheza filamu wanavofanya instagram
Matola big up sana sio kila social network uwepo sometime ni ujuha tu wati wako busy hakuna wanachomake zaidi ya kupoteza muda. Mie Jf ndo mpango mzima.
Ukiacha viber na skype ambazo sometimes haziko clear kwenye kuzungumza mi nimejiweka kwa hawa LINE jamaa clear anywhere hata kama huna internet ya kasi nzuri wako poa sana nishapiga chini skype na viber kwenye matumizi ya internet call.
 
Matola big up sana sio kila social network uwepo sometime ni ujuha tu wati wako busy hakuna wanachomake zaidi ya kupoteza muda. Mie Jf ndo mpango mzima.
Ukiacha viber na skype ambazo sometimes haziko clear kwenye kuzungumza mi nimejiweka kwa hawa LINE jamaa clear anywhere hata kama huna internet ya kasi nzuri wako poa sana nishapiga chini skype na viber kwenye matumizi ya internet call.

Dat wassup!!
 

Kwa mtazamo wako mkuu king kong 3 mtoto wa kiume kama wewe daily unapost picha picha zako sijui uko na nani! unakula nini! Umevaa viatu gani...jinzi gani sijui mara umepoz na kivest chako mara uko na shemeji pale mnapigana mabusu..mara unatuonyesha mtoto wako..!! Hayo si mambo ya watoto wa kiume wenye kujitambua kama sio kujielewa
 
Facebook inataosha sana, ukiwaendekeza hawa Wazungu utakuwa kama chizi kwenye mitandao, mimi hata hiyo twitter sina account.

niliwahi soma review moja ktk mitandao ilikuwa inasema twitter is more like of a mac os.not user freindly and it's for elite social media users.nilipofungua a/c yangu kwa mara ya kwanza nikagundua ni kweli..ule mtandao ni mgumu kuutumia.inabidi uwe kichwa kidogo kuutumia vile inavyo takiwa.ndo mana vichwa vya panzi huwakuti kule.chunguza mkuu.
 
Kwa mtazamo wako mkuu king kong 3 mtoto wa kiume kama wewe daily unapost picha picha zako sijui uko na nani! unakula nini! Umevaa viatu gani...jinzi gani sijui mara umepoz na kivest chako mara uko na shemeji pale mnapigana mabusu..mara unatuonyesha mtoto wako..!! Hayo si mambo ya watoto wa kiume wenye kujitambua kama sio kujielewa

mkuu sio lazima uwe una post picha za selfie tuu.kwa mfano mim napost na ku-hashtags pic zinazo dsplay kazi zangu na product zinazotokana nazo.nimepata network base ya followrs frm around the world.ila kuna madogo wao kila kukicha ni kutupia wakiwa bich,club nk.
 
Ni social network ambayo unajiunga kama unapendelea eg magari, wanyama, nature, kwa hiyo ni hobbies zako una follow au we mwenyewe unaanza na picha zako au ubunifu wako. Kwa mfano kuna msichana saudia ameamua kuweka ubunifu wake wa chocolate aina nyingi within few months amepata followers zaidi ya 3m kawazidi hata ma star akiwemo Oprah ningeweka picha lkn sorry imekataa
 
mkuu sio lazima uwe una post picha za selfie tuu.kwa mfano mim napost na ku-hashtags pic zinazo dsplay kazi zangu na product zinazotokana nazo.nimepata network base ya followrs frm around the world.ila kuna madogo wao kila kukicha ni kutupia wakiwa bich,club nk.

Kadoda 11 we ni mmoja katika watz laki moja hata hao watu famous sijui wasanii hebu angalia kweli wapo sahihi na hii kitu katika kufanikisha malengo ya kimaisha kibiashara..ndio maana kwa mtu kama mimi huwezi kunikuta kwani sina maslahi napo zaidi kama kijamii tutakutana fb..whatssap..text msg n fone calls inatosha.
 
Cha ajabu instagram kwa muujibu ya maelezo ya mmiliki wake mwanzo miongoni mwa malengo yake wakati inaanzishwa haikuwa kuwa inatumika kwa ajili ya kuupload picha tofauti na ilivyozoeleka sasa.
 
Kwa mtazamo wako mkuu king kong 3 mtoto wa kiume kama wewe daily unapost picha picha zako sijui uko na nani! unakula nini! Umevaa viatu gani...jinzi gani sijui mara umepoz na kivest chako mara uko na shemeji pale mnapigana mabusu..mara unatuonyesha mtoto wako..!! Hayo si mambo ya watoto wa kiume wenye kujitambua kama sio kujielewa

Roger Dat.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom