Kibwagizo
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 130
- 8
Tuna kikundi cha kusaidiana na tuko katika mpango wa kukopeshana.Sasa wanaumoja wanataka kikundi kiwe na utunzaji wa data zote za chama wa kisasa( kutumia computer). Sasa basi nimeona nijaribu kupata mawazo yenu juu ya vitu vinavyohitajika na je? Jinsi ya kuendesha system nzima.