LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Wakuu naomben msaada wenu.
Kuna LUKU 2 zinaandika low supply na zikiandika hivyo zinakata umeme kabisa na mda mwingine unaweza ukawasha na zikakubali na huku zimeandika low supply..
Je hapo tatizo hasa ni nin??
Ni LUKU zenyewe zinamatatizo au kuna luz kwenye nyaya zinazotoka kwenye nguzo?? (input ya LUKU).
Naomba msaada wenu wakuu maana tulisha kwenda ripot tanesco nawanatuzungusha tu.
Kuna LUKU 2 zinaandika low supply na zikiandika hivyo zinakata umeme kabisa na mda mwingine unaweza ukawasha na zikakubali na huku zimeandika low supply..
Je hapo tatizo hasa ni nin??
Ni LUKU zenyewe zinamatatizo au kuna luz kwenye nyaya zinazotoka kwenye nguzo?? (input ya LUKU).
Naomba msaada wenu wakuu maana tulisha kwenda ripot tanesco nawanatuzungusha tu.