Wataalam wa Networking - MSAADA WA HARAKA!

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
Wakuu, nina pc zangu kadhaa (3 to be specific!) zilikuwa zinashare broadband internet (on a wired LAN), pc ya chumbani nilikuwa natumia kama "server" kugawia net study room na living. Mwanzo connection ilipiga kazi flawlessly!..hv karibuni connection yangu ilipotea (tatizo la miundombinu ya ISP), walivyokuja kurekebisha waya zao, connection yangu inakubali kwenye pc ya chumbani tu!! na inaonesha error "Limited or no connectivity", nyingine zinaoesha error kama hiyo na hazipati internet kabisa!
Nimejaribu mbinu kibao, Registry Fix, Static IP, Renew IP, lakini wapi!
Nimebaki na maumivu tu wakuuu, hebu nijuzeni mbinu zaidi tafadhali!
Asenti!
 
1. Jaribu kufanya connection repair kwenye hiyo PC(Server) on Vista right click connection icon(chini kulia) halafu click troubleshoot problems, XP nadhani kuna option ya repair. Angalia inasemaje.
Win 7
2. Nenda kwenye command prompt. Start search "cmd" kama upo Vista au Win 7 au Changua Run halafu type cmd kwenye Win XP.
Andika.

ipconfig /all

Copy paste humu, fanya PC zote.
 
1. Jaribu kufanya connection repair kwenye hiyo PC(Server) on Vista right click connection icon(chini kulia) halafu click troubleshoot problems, XP nadhani kuna option ya repair. Angalia inasemaje.
Win 7
2. Nenda kwenye command prompt. Start search "cmd" kama upo Vista au Win 7 au Changua Run halafu type cmd kwenye Win XP.
Andika.

ipconfig /all

Copy paste humu, fanya PC zote.

Asante mkuu, Pc zangu 2 ni XP SP2, na moja ni Win7, nimejaribu kurepair hakuna kitu mkuu
Dakika chache zilizopita wazo limekuja nikabadili "server", badala ya kutumia pc ya chumbani nimetumia pc ya study (zote xp) ngoma imeenda hewani na error zote zimetoweka! nikirudisha chumbani (Ni rahisi kuzima napofanya kazi late hours) ngoma inagoma, sasa angalau namjua culprit! Kwa sasa angalau kazi zinaenda, nikimaliza kazi nitarudi tena kwenye traboshutingi-nita "ipconfig/all" kisha nitaweka hapa log zote
Asante tena mkuu!
 
Unatumia Windows XP na Auto DHCP? Kama ndiyo then,

Jaribu kuzibua TCP/IP stack kwenye PC zinazosumbua, pia flush DNS ukiwa kwenye dos command type ipconfig /flushdns then press enter

Jinsi ya kuzibua TCP/IP stack:

andaa faili tupu kwenye partition yako liite resetlog.txt au jina lolote utakaloamua (c:\resetlog.txt)
Kama ni XP nenda kwenye Start halafu chagua Run halafu chapa comand ifuatayo

netsh int ip reset c:\resetlog.txt Bonyeza Enter Baadaye angalia hili faili kama litakuwa na output that means command imefanya kazi.

Zibua winsock catalog kwa command ifuatayo:

netsh winsock reset catalog Bonyeza Enter

Restart computer yako jaribu tena kama

N.B kwenye hizo command usikose blank space kama uonavyo
Kila la kheri!
 
Asanteni sana wakuu, nimeshapata solution!
Tatizo lilikuwa kwenye router! kwa namna moja ama nyingine ilikuwa na ilibadili IP, nilivyo-restart tu everything went green!!!! simple solution heh! sikufikiria kuhusu hilo! teh teh
THANX!
 
asanteni sana wakuu, nimeshapata solution!
Tatizo lilikuwa kwenye router! Kwa namna moja ama nyingine ilikuwa na ilibadili ip, nilivyo-restart tu everything went green!!!! Simple solution heh! Sikufikiria kuhusu hilo! Teh teh
thanx!

ungeandika kichwa chemsha bongo!! Teh, teh!!!!
 
nunua wireless router uitumie kama switch kuconnect hizo PC ila unaweza zima wireless na kutumia nyaya tuu kama unaogopa kuibiwa link, yenyewe huwa inatoa dhcp achana na kutegemea computer moja kulisha nyingine itakusumbua na ni lazima usiizime hiyo computer.
 
chizicomputer
0712484995
edjizzo@yahoo.com
sikia kuelezana humu kwa maneno ina itaji mlolongo mlefu kama una itaji more information call
tuta kueleza

Mkuu, huoni kwamba maelezo ya maandishi ni mazuri na nafuu, na tena yanafikia wengi kuliko simu? Ungemwaga hapa maujuzi kaka watu waongeze nondo vichwani! Lakini usijali, nimeshapata simple solution kutoka kwenye maandishi ya wataalamu!
Thanx
 
nunua wireless router uitumie kama switch kuconnect hizo PC ila unaweza zima wireless na kutumia nyaya tuu kama unaogopa kuibiwa link, yenyewe huwa inatoa dhcp achana na kutegemea computer moja kulisha nyingine itakusumbua na ni lazima usiizime hiyo computer.

Asante mkuu, wazo zuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom