John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 174
Nimekuwa nikisikia baadhi ya watu wakitamba kuwa wamepona Malaria, Typhoid na magonjwa yote yanayo husiana na tumbo baada ya kutumia kinywaji cha KONYAGI.
Naomba wataalam mseme neno juu ya hili, na ikiwezekana mtoe na takwimu za tafiti mbalimbali zilizo fanyika!
Ahsanteni
JM
Naomba wataalam mseme neno juu ya hili, na ikiwezekana mtoe na takwimu za tafiti mbalimbali zilizo fanyika!
Ahsanteni
JM