Ballot
Member
- Jan 4, 2012
- 39
- 12
wakati mwingine najiuliza hivi huku botswana nafanya nini mimi??kuishi na watu wanaonitia hasira kila siku nimechoka kabisa''jana nimepita mitaa fulani nikaona jamaa wanamchinja ngo'mbe yaani ni machinjioni''yaani ndugu zangu nilijuta kwa nini nilipita mitaa ile na kosa kubwa nilipaki gari yangu karibu na kushuhudia unyama wa hali ya juu kabisa''yaani ngombe wanaletwa halafu anapigwa kamba'yaani ile process ni unyama mtupu'ngo'mbe alikuwa analeta ubishi kidogo basi alipelekewa kisu cha jicho''hajakaa vizuri akapelekewa kisu cha jicho la pili'kwa ujumla hapo tayari ni kipofu'huo unyama na jinsi wanavyomchinja unyama unyama imenifanya nisilale jana lakini cha kushangaza waswana waliokuwwa wakiangalia walicheka sana na kuona kama ni kitendo cha kawaida'kwa kweli nyie watanzania ni wastaarabu sana kulinganisha na hawa