Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Kama ni mimi,hao ndugu zake kama ni wakike alafu wazuri,weee,chapa wote bakora.then atajifunza tamu na chungu ya kunijazia watu ndani.
WANAE? Labda kama leba alienda yeye. Udhaifu wake usimnyime mke wala watoto haki ya kuishi pamoja.
hizo ndio sifa hasi za kuoa mkoa wa tanga! Jamaa yangu ilimlazimu kutoa talaka. Alipomuoa huyo binti wa kitanga alijikuta anafamilia kubwa ajabu!
sasa huyo kaka yako anafaidi chakula cha ndoa saa ngapi....?..
inaudhi sana lakini.....
Kama ni mimi,hao ndugu zake kama ni wakike alafu wazuri,weee,chapa wote bakora.then atajifunza tamu na chungu ya kunijazia watu ndani.
Hicho chakula kitakuwa hata na ladha kwani?? job true true
Yaani natamani
ningekuwa mimi hapo
nioneshe 'sinema' lol
Umenitamanisha kujua ungefanya nini dear The boss?
nimekutamanisha?
dear the boss?
The guy should act like a man
Sioni kwa nini akalale kwa majirani
Anatakiwa kuwaonyesha hao ndugu kwamba hakuoa ukoo..
Kitendo cha kuhama mjii ni udhaifu!!