Waswahili Walisema Ndoa........!???Cheki Hii!

Kama ni kweli, ukisikia watu wanasema mwanaume kaolewa ndiyo kwa staili hiyo. Hapo Mume sio kichwa kama wanavyofundisha na kusisitiza misikitini na makanisani hapo mume ni vidole kama sio kucha kabisa. Na hao ndugu za mume wako wapi wanashindwa nini kumsaidia kaka yao kama tayari madawa yameshamuharibu? Kwa upande mwingine inaweza kuwa Mume anapenda hiyo hali iendelee hivyo hivyo huwezijua labda anafaidi zaidi huko nje anakolala. Pia anaweza kuwa anawashughulikia hao ndugu za mke wake kwa malipo anayoyajua mwenyewe. Lakini mwisho wa siku ndoa ni kati ya watu wawili na iheshimiwe na watu wote.
 
Wana JF,

Kumekuwa na kasumba sasa watu wa tanga wamekuwa na tabia za kule kijijini wamezileta mjini hawaangalii wewe ulioko mjini unatafuta wao wanataka wakutumia kama mtafutaji wao wanakula khaaaaaaaa, Mfanyakazi wa ndani utamsikia nataka kwenda kumsalimia kaka kumbe mke wa kaka yake kamwoba kajihela yaani hapo hapo mara mama kule kijijini hana chakula mfanyakazi wako wa ndani ndie anatakiwa atume pesa wakati mjini ndugu wote wamejaaa na wana fanya kazi nao sasa siwaelewi hawa ndugu zangu wa tanga na wajipange jamani maisha ni magumusana
 
Kama mimi nahama jumla, hela ya matumizi natuma mtu ampelekee mke wangu, simu sipokei wakati mwingine naizima. Nitaona watavumilia hadi lini.
 
solution ni huyo kaka yako kuwa "mwanaume" na kuongoza nyumba yake....

unaweza kuelewa kuhusu ndugu wa tumbo moja na mkeo, ila mpaka watoto wa mama mdogo?

walaaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh sasa naamini kuna mikoa usioe wala kuolewa ni noumer!!!!
 
sio kuhama, ingekua mie ningeamka asubuhi nikawaambia kila mtu afunge virago vyake, kuanzia mke wangu na nduguze, then nawapa nauli nawatakia maisha mema , nitabaki na wanangu, mke atarudi pale akipata akili......

ila kama huyo kaka anashindwa kufanya hivyo arudi kwake achukue wanae wapeleke kwa dada yake au wazazi wake au boarding, then humo ndani asitoe hata shilingi 5 ya matumizi, watakula nini ndo akili itawakaa sawa



Kama mimi nahama jumla, hela ya matumizi natuma mtu ampelekee mke wangu, simu sipokei wakati mwingine naizima. Nitaona watavumilia hadi lini.
 
solution ni huyo kaka yako kuwa "mwanaume" na kuongoza nyumba yake....

unaweza kuelewa kuhusu ndugu wa tumbo moja na mkeo, ila mpaka watoto wa mama mdogo?

walaaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh sasa naamini kuna mikoa usioe wala kuolewa ni noumer!!!!
 
Kazi kwelikweli kuna watu hajaumbiwa aibu hata kidogo yani mume hapo akishindwa kuact kama mwanaume atahama kabisa hiyo nyumba.duuh!!kweli kuna mikoa na makabila noumer!!pole zake!!!
 
Umenikumbusha kisa, coincidencially tu kinahusiana na familia ya mke toka Tanga. Baada ya mwezi mmoja tu wa ndoa jamaa aliikutia nyumba yake imejaa kama nyumba ya ndege - wanalala ukumbini, kwenye koridoo, jikoni..... Aliwahi kusema na mke wake lakini huyu alishindwa kuwakataza na kuwafukuza jamaa zake.

Jamaa akaigiza ameanza tabia ya ulevi. Mwanzo alikuwa akirejea nyumbani akiwa "amelewa," anawashambulia mashemeji zake lakini hawa kwa kukosa haya, walikuwa hawajali. La mwisho alilofanya yule jamaa, akirejea anaingia chumbani, akihakikisha wamelala anakwenda anawakojolea. Haikuchukua wiki mbili walihama wote.
 
Mi naomba nichangie mambo mawili:

1. Hili si tatizo la ndoa kama ndoa, ni tatizo la uelewa mdogo wa mke wa kaka yako wa namna ya kuihudumia familia yake na mapenzi ya upofu ya kaka yako. Uelewa mdogo na kushindwa kupima uzito wa mambo humpata yeyote aliye kwenye ndoa na asiye kwenye ndoa, hivyo si jema kila baya la ndani ya ndoa lionekana ni tatizo linalosababishwa na ndoa!!! Akili gani ya kumpenda kuhudumia ndugu mpaka unaitesa familia yako mwenyewe?

2. Hapo penye bold ndugu yangu maelezo yako wazi sana kuwa kaka yako haoni taabu na hiyo extended family na mzigo wa kuhudumia hiyo familia. Wewe na ndugu wengine ndo mnaona shida. Mi nakushaurini tu kwa kuwa kaka yako hana taabu ni bora msiiingilie hiyo ndoa, utakuja kuonekana kuwa una chuki na mke wa kaka yako au pengine unataka kubomoa ndoa ya kaka yako. Ndiyo maana mambo mnayomshauri anakwenda kumwambia mkewe mnaanza kuimbiana taarabu ....! Mwache akifunguka akili, atawatafuta yeye mwenyewe!

Kuna wimbo ulikuwa unaimbwa zamani unasema "bibi na bwana wakigombana nyumbani, waache wenyewe mpaka watakapo elewana, lakini usiwangilie eheeee, wakijapatana, utabiki na aibu weee mtoto wa mamaaa"

sasa Uangalie tu...Wakati anaona Ndugu Yake Anazeeshwa!!?
 
hawa watu wa hili kabila ni kawaida yao kurundikana kwa ndugu na haijarishi huyo ndugu ana kipato cha kutosha au laah.

mimi na shangazi yangu kaolewa kwenye hilo kabila aisee nyumba yake ikiwa na watu wachache mpaka majirani wanashangaa ni watu 15.........ile nyumba inakuwaga na watu 30........tena mwingine anakuja na mke na watoto wake.......yani sijui wakoje.

Sasa Hayo Ni Mateso Jamani!
 
Fukuza kuanzia dada mtu , mama mdogo na wadogo zake timua. Kauli mojatu KAMA SIO MKE WANGU NA SIO MTOTO WANGU SITAKI KUKUONA UNANG'AA SHARUBU HAPA KWANGU........

ndo Hapo Sasa...Ni Mwendo Wa Kutimua tu!
 
Sasa Hayo Ni Mateso Jamani!
wanatesa sana tena wanataka milo yote mitatu waipate..........kuanzia chai asubuh mpaka chakula cha jioni.

hela yote inaishia kwenye misosi unashindwa kuendelea mbele.
 
Jamani baadhi ya wanaume wa siku hizi are so weak.
ivi mtu unawezaje kuhama nyumba yako ukalale kwa jirani, kisa wageni wasiokuwa na mpango. khaaa!
ivi mtu unashindwa nini kufanya maamuzi magumu nyumbani kwako? hii hali inasikitisha sana, alafu mtu utakuta analalamika pembeni akifika nyumbani unaufyata, hawezi hata kuzungumza na mkewe.
yaani huyo kaka yako asipoangalia na ndoa itamshinda, maana hata sijui kwa hali hiyo kama anaweza kushiki tendo la ndoa na mkewe
 
Umenikumbusha kisa, coincidencially tu kinahusiana na familia ya mke toka Tanga. Baada ya mwezi mmoja tu wa ndoa jamaa aliikutia nyumba yake imejaa kama nyumba ya ndege - wanalala ukumbini, kwenye koridoo, jikoni..... Aliwahi kusema na mke wake lakini huyu alishindwa kuwakataza na kuwafukuza jamaa zake.

Jamaa akaigiza ameanza tabia ya ulevi. Mwanzo alikuwa akirejea nyumbani akiwa "amelewa," anawashambulia mashemeji zake lakini hawa kwa kukosa haya, walikuwa hawajali. La mwisho alilofanya yule jamaa, akirejea anaingia chumbani, akihakikisha wamelala anakwenda anawakojolea. Haikuchukua wiki mbili walihama wote.

Sometimes its better you act like a fool
How comes people don't respect somebody's privacy?..kisa ndugu yetu! ebo??
I think i would act the same!
 
Makabila mengine ni mzigo, sorry to say this!!!! Unapoamua kuoa angalia sana pa kuoa. Mwanamke anaweza kuwa furaha, maendeleo au chukizo kwa maisha yako yote. Siku zote mwanamke unatakiwa kumlinda mume wako hasa pale kipato kinakuwa kidogo ili mwishowe uweze kuwa na maisha mazuri. Kwa maneno ya huyu mleta habari inaonekana wazi kuwa huyu mwanaume hana uwezo mkubwa wa kulisha familia kubwa. Kilichotakiwa ni kwa mke kubana matumizi ili waweze kupata kiwanja au basi kujenga nyumba kubwa. Inavyoonekana kwa mpango huu ndugu yenu huyo anazidi kupalilia umaskini. Ninafurahi mke wangu hajawahi hata kutaka kwenda kulala kwa ndugu zake hata kule nilikomtoa akifika tu kwa dada yake huyo hata friji hafungui, ni busara tu. Heshimu ndoa za wengine ili na ndoa yako iheshimike. Na hata ndugu zake wakitutembelea ni heshima tu na wakitaka kitu ni lazima wapate consent kwangu na si kwa dada yao, utasikia unaonaje shemeji kama utafanya hivi na hivi na si kumtumia dada yao kwa kuwa eti ndiyo mama wa nyumba. Mke wangu anawamudu and life goes on happily. Hata akiwa anataka kuja kututembelea mgeni wa upande wangu na wake na kama atakaa kama wanafunzi wanaopita wakienda shuleni tunajadili kwanza na kukubaliana. Maisha ni kupanga, panga maisha yako and your partner counts a lot in your failure/success.
 
sio kuhama, ingekua
mie ningeamka asubuhi nikawaambia kila mtu afunge virago vyake, kuanzia
mke wangu na nduguze, then nawapa nauli nawatakia maisha mema , nitabaki
na wanangu, mke atarudi pale akipata akili......

ila kama huyo kaka anashindwa kufanya hivyo arudi kwake achukue wanae
wapeleke kwa dada yake au wazazi wake au boarding, then humo ndani
asitoe hata shilingi 5 ya matumizi, watakula nini ndo akili itawakaa
sawa

WANAE? Labda kama leba alienda yeye. Udhaifu wake usimnyime mke wala watoto haki ya kuishi pamoja.
 
Back
Top Bottom