waswahili nini english facebook kama...

mbongopopo

JF-Expert Member
Jan 24, 2008
1,611
758
hivi mie nimechoka jamani kusoma jinsi watu wanavyoandika english vibaya tena sio fb tu. wanaumiza na vichwa maana mara nyingi inabidi ujipige kichwa wengi hata madakika mengi kuweza jua walitaka kusema nini. Kwani kiswahili kinatatizo gani najua wengine watasema wana marafiki walugha hiyo tu etc ila google translate ipo

sasa leo nimekutana na mifano hii ya wa watu wanaishi nchi zinazoongea english yaani ulaya miaka mingi

MIE NAJUA HATA SWAHILI TUNAKOSEA ILA HII SASA INAKUWA KARIBU KILA SIKU UNAKUTANA NA HAYA

TABU NI KWAMBA WENGI WANASHINDA KUONGEA KISWAHILI...HATA WA TANZANIA AMBAO WANAKIJUA HAWAJAWAHI SAFIRI WANAONGEA KIINGEREZA KIZURI FASAHA

WENGINE KUONDOA HERUFI MOJA AU MBILI KAMA VILE WANATUMA TEXT MESSAGE (SMS)nao hawa mmmmhhh sisomi sentensi zao tena

USHAURI KUNA MFANO GOOGLE na search engine zingine

weka neno angalia maana yake, au nenda kwa word document etc
inasaidia usijisikie aibu as ndio inarudisha nyuma mtu

kunakukosea herufi kwenye kudonoa ila mmmhh hii ni kutojua sentensi/neno inaandikajwe na kuboronga

n.b hata humu mpo
 
We nawe...kuongea lugha usiyoijua ni njia moja ya kujifunza!!Tatizo letu waswahili kila kitu tunataka kujifanya wajuaji!Binafsi sijawahi kushuhudia wazungu wakimsema mtu mwingine anaongea broken english au lugha yao yoyote ile!Wanamuincourage mtu aendelee kuongea ili azidi kujifunza!So we ukimuona mwenzako anaboronga msaidie kama unaweza kama hutaki chapa mwendo achana na habari ya 'hajui ila anang'ang'ana kama anajua.'!Kama wewe umefanikiwa kujua na yeye yuko kwenye harakati hizo!
 
we nawe nini umeabiwa wapi wazungu wanamchunia mtu si awakujui na awaonani nawe kila wakati kukuambia ukwelii acha uongo hapo as hata wao wanakosoana. ungeelewa nilichoandika ungegundua ni sio mambo ya kukosoana ila ni kujielimisha ndio inakuwa haifanyiki. wapi umeona nimeandika kung'ang'ania????????????????????????????????? i guess huu ndio mfano jifunzeni kuelewa kabla ya kujibu yalioandikwa
We nawe...kuongea lugha usiyoijua ni njia moja ya kujifunza!!Tatizo letu waswahili kila kitu tunataka kujifanya wajuaji!Binafsi sijawahi kushuhudia wazungu wakimsema mtu mwingine anaongea broken english au lugha yao yoyote ile!Wanamuincourage mtu aendelee kuongea ili azidi kujifunza!So we ukimuona mwenzako anaboronga msaidie kama unaweza kama hutaki chapa mwendo achana na habari ya 'hajui ila anang'ang'ana kama anajua.'!Kama wewe umefanikiwa kujua na yeye yuko kwenye harakati hizo!
 
we nawe nini umeabiwa wapi wazungu wanamchunia mtu si awakujui na awaonani nawe kila wakati kukuambia ukwelii acha uongo hapo as hata wao wanakosoana. ungeelewa nilichoandika ungegundua ni sio mambo ya kukosoana ila ni kujielimisha ndio inakuwa haifanyiki. wapi umeona nimeandika kung'ang'ania????????????????????????????????? i guess huu ndio mfano jifunzeni kuelewa kabla ya kujibu yalioandikwa

Kichwa cha habari yako tu kinajieleza!!!
 
hivi mie nimechoka jamani kusoma jinsi watu wanavyoandika english vibaya tena sio fb tu. wanaumiza na vichwa maana mara nyingi inabidi ujipige kichwa wengi hata madakika mengi kuweza jua walitaka kusema nini. Kwani kiswahili kinatatizo gani najua wengine watasema wana marafiki walugha hiyo tu etc ila google translate ipo

sasa leo nimekutana na mifano hii ya wa watu wanaishi nchi zinazoongea english yaani ulaya miaka mingi

MIE NAJUA HATA SWAHILI TUNAKOSEA ILA HII SASA INAKUWA KARIBU KILA SIKU UNAKUTANA NA HAYA

TABU NI KWAMBA WENGI WANASHINDA KUONGEA KISWAHILI...HATA WA TANZANIA AMBAO WANAKIJUA HAWAJAWAHI SAFIRI WANAONGEA KIINGEREZA KIZURI FASAHA

WENGINE KUONDOA HERUFI MOJA AU MBILI KAMA VILE WANATUMA TEXT MESSAGE (SMS)nao hawa mmmmhhh sisomi sentensi zao tena

USHAURI KUNA MFANO GOOGLE na search engine zingine

weka neno angalia maana yake, au nenda kwa word document etc
inasaidia usijisikie aibu as ndio inarudisha nyuma mtu

kunakukosea herufi kwenye kudonoa ila mmmhh hii ni kutojua sentensi/neno inaandikajwe na kuboronga

n.b hata humu mpo

mbona unakuwa muoga point unaiweka mwishoni?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom