mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 758
hivi mie nimechoka jamani kusoma jinsi watu wanavyoandika english vibaya tena sio fb tu. wanaumiza na vichwa maana mara nyingi inabidi ujipige kichwa wengi hata madakika mengi kuweza jua walitaka kusema nini. Kwani kiswahili kinatatizo gani najua wengine watasema wana marafiki walugha hiyo tu etc ila google translate ipo
sasa leo nimekutana na mifano hii ya wa watu wanaishi nchi zinazoongea english yaani ulaya miaka mingi
MIE NAJUA HATA SWAHILI TUNAKOSEA ILA HII SASA INAKUWA KARIBU KILA SIKU UNAKUTANA NA HAYA
TABU NI KWAMBA WENGI WANASHINDA KUONGEA KISWAHILI...HATA WA TANZANIA AMBAO WANAKIJUA HAWAJAWAHI SAFIRI WANAONGEA KIINGEREZA KIZURI FASAHA
WENGINE KUONDOA HERUFI MOJA AU MBILI KAMA VILE WANATUMA TEXT MESSAGE (SMS)nao hawa mmmmhhh sisomi sentensi zao tena
USHAURI KUNA MFANO GOOGLE na search engine zingine
weka neno angalia maana yake, au nenda kwa word document etc
inasaidia usijisikie aibu as ndio inarudisha nyuma mtu
kunakukosea herufi kwenye kudonoa ila mmmhh hii ni kutojua sentensi/neno inaandikajwe na kuboronga
n.b hata humu mpo
sasa leo nimekutana na mifano hii ya wa watu wanaishi nchi zinazoongea english yaani ulaya miaka mingi
MIE NAJUA HATA SWAHILI TUNAKOSEA ILA HII SASA INAKUWA KARIBU KILA SIKU UNAKUTANA NA HAYA
TABU NI KWAMBA WENGI WANASHINDA KUONGEA KISWAHILI...HATA WA TANZANIA AMBAO WANAKIJUA HAWAJAWAHI SAFIRI WANAONGEA KIINGEREZA KIZURI FASAHA
WENGINE KUONDOA HERUFI MOJA AU MBILI KAMA VILE WANATUMA TEXT MESSAGE (SMS)nao hawa mmmmhhh sisomi sentensi zao tena
USHAURI KUNA MFANO GOOGLE na search engine zingine
weka neno angalia maana yake, au nenda kwa word document etc
inasaidia usijisikie aibu as ndio inarudisha nyuma mtu
kunakukosea herufi kwenye kudonoa ila mmmhh hii ni kutojua sentensi/neno inaandikajwe na kuboronga
n.b hata humu mpo