hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
Mmh hapo nimekinyaka, he he he!. Ila si mchezo unakitafuna kile chenyewe hasa!.
kaka kwetu magu....panda ki hice nyakato mwisho teremkia masanza kona...l.o.l
Mmh hapo nimekinyaka, he he he!. Ila si mchezo unakitafuna kile chenyewe hasa!.
Naomba mnisaidie maana za maneno haya:
1. Wamsha kinehe
2. Duhu
3. Sanzi
Ikibidi mniongezee mengine kwani nataka kuoa kwenu.
urefu wako na tabia zako ndo sifa kubwa. umwage hapa tuamue kama unasifa. duhu means uchi. nduhu means hapana. sanji, siyo sanzi. mzazi wa mke wa mwana au mume wa mwana.
Nina urefu wa futi 6.1,na sifa nyingine ya ziada ni inchi 9,cm 4. Maji ya kunde mwili wa wastani wazungu wanasema Athletic body.
We si msukuma acha kuwadanganya wenzio ginehe mnya onemwansha kinehe=umeamkaje
duhu=hapana
sanzi=wazazi wako ww na wazazi wa mkeo ndivyo wanavyoitana
bageshi=mmeoa mji mmoja ndivyo mtakavyoita
goko=shemeji
mae goko=mama mkwe
wasukuma napenda zaidi majina yao kama vile ndebile, pawa, milembe ila sipati maana zake kabisa.
Bhebhe ng'wanangwa, kinahe a-haredi hene!
wasukuma napenda zaidi majina yao kama vile Ndebile, Pawa, Milembe ila sipati maana zake kabisa.
Hujawa wazi kutueleza mchumbako anatokea sehemu gani ya usukumani, mf. shy wapo wanyantuzu hawa ni wasukuma wanaosikilizana na wale wa sehemu za mwanza ila matamshi ya maneno (phonological)yanaweza kutofautiana kwa mfano, m'ho inaweza kumaanisha kukubaliana, pia unapokula usipende kuongea
hapo nilipopigia umepotosha sio kweli: duhu maana yake uchi yaani mtu yuko uchi, neno halisi ni n'duhuu=hakuna au hapanamwansha kinehe=umeamkaje
duhu=hapana
sanzi=wazazi wako ww na wazazi wa mkeo ndivyo wanavyoitana
bageshi=mmeoa mji mmoja ndivyo mtakavyoita
goko=shemeji
mae goko=mama mkwe