Elections 2010 WASUKUMA WAPAMBANA: Mpendazoe & Mashishanga Vs. Mahanga jimboni Segerea!!!

minda

JF-Expert Member
Oct 2, 2009
1,068
65
wakati ccm ikiuguza machungu ya sintofahamu ya matokeo ya kura za maoni ndani yake (iringa, dodoma,nk) kwenye kinyang'anyiro cha kampeni uchaguzi 2010 hasa kwa ngazi ya ubunge na udiwani, hali inaonekana kuwa tofauti kwa upande wa chadema kwani mshindi wa kura za maoni kwa jimbo la Segerea ambaye hata hivyo hakupitishwa na chama hicho kugombea (Rachel Mashishanga) ubunge na badala yake akapitishwa aliyeshika nafasi ya pili (Fred Mpendazoe); ameamua kusahau sintofahamu hiyo na kumuunga mkono mpendazoe.
former-kishapu-mp-frederick-mpendazoe.jpg

mashishanga ambaye pia ni mwenyekiti wa chadema jimboni humo ameamua kumuunga mkono mpendazoe kwa 100%
Mpendazoe%284%29.jpg

katika ufunguzi wa kampeni hivi karibuni, mashishanga akamnadi mpendazoe hivi:

"Ikiwa mahanga, aliyekuwa mbunge wenu kwa miaka kumi hakuwahi kukutana nanyi kujadili vipaumbele vya maendeleo jimboni, nani anafahamu zilikoishia[?], tumewaletea mpambanaji mpendazoe, amueni kumpa fursa ya kuwakomboa."


source: Mwananchi 16 Septemba, 2010.

nota bene: hilo la 'wasukuma' ni title tu; ipuuze!!!


15 novemba 2010
hatimaye makongoro mahanga ameshinda ridhaa ya wananchi wa jimbo la segerea na kuapishwa hivi karibuni.
hata hivyo tunaambiwa mpendazoe tayari ameshakata rufaa mahakamani. lets just wait and see!
 
wakati ccm ikiuguza machungu ya sintofahamu ya matokeo ya kura za maoni ndani yake (iringa, dodoma,nk) kwenye kinyang'anyiro cha kampeni uchaguzi 2010 hasa kwa ngazi ya ubunge na udiwani, hali inaonekana kuwa tofauti kwa upande wa chadema kwani mshindi wa kura za maoni kwa jimbo la Segerea ambaye hata hivyo hakupitishwa na chama hicho kugombea (Rachel Mashishanga) ubunge na badala yake akapitishwa aliyeshika nafasi ya pili (Fred Mpendazoe); ameamua kusahau sintofahamu hiyo na kumuunga mkono mpendazoe.
former-kishapu-mp-frederick-mpendazoe.jpg

mashishanga ambaye pia ni mwenyekiti wa chadema jimboni humo ameamua kumuunga mkono mpendazoe kwa 100%
Mpendazoe(4).jpg

katika ufunguzi wa kampeni hivi karibuni, mashishanga akamnadi mpendazoe hivi:

"Ikiwa mahanga, aliyekuwa mbunge wenu kwa miaka kumi hakuwahi kukutana nanyi kujadili vipaumbele vya maendeleo jimboni, nani anafahamu zilikoishia[?], tumewaletea mpambanaji mpendazoe, amueni kumpa fursa ya kuwakomboa."


source: Mwananchi 16 Septemba, 2010.




my take;


wakuu mnasemaje kuhusu hili;

  • la mashishanga kuonesha ukomavu wa kisiasa tofauti na kina prof chegeni, malecela, shelukindo waliosusia kampeni?
  • la watu kama kina mahanga kuonekana majimboni wakati wa kampeni?
  • la kuletewa 'mtu mbadala' kama mpendazoe ili awakomboe wananchi?
nota bene: hilo la 'wasukuma' ni title tu; ipuuze!!!
Mahanga si msukuma bali Mkulya nadhani
 
minda, nadhani ungebadili heading ingekuwa vizuri zaidi iliyopo naona imekaa kiukabila kabila. Yaani heading inatofautiana na nondo ulizoshusha ktk thread yako,pia thread umeibua changamoto nzuri kwa kujadili mfano:- uamuzi wa MASHISHANGA Kumsupport MPENDANZOE wakati upande wa pili Tingatinga, Dk chegeni na Shellukindo wamekula kona ktk kusupport wagombea na chama chao cha CCM. Hayo ni maoni yangu tu
 
Hongera wasukuma,,,,,,,,,,,,,wasukuma kwanza vyama baadaye!
 
minda, nadhani ungebadili heading ingekuwa vizuri zaidi iliyopo naona imekaa kiukabila kabila. Yaani heading inatofautiana na nondo ulizoshusha ktk thread yako,pia thread umeibua changamoto nzuri kwa kujadili mfano:- uamuzi wa MASHISHANGA Kumsupport MPENDANZOE wakati upande wa pili Tingatinga, Dk chegeni na Shellukindo wamekula kona ktk kusupport wagombea na chama chao cha CCM. Hayo ni maoni yangu tu



nota bene: hilo la 'wasukuma' ni title tu; ipuuze!!! Asante kwa ushauri.
 
Huyu Mpendazoe akifanikiwa akachukua kiti cha ubunge jimbo hilo mbona akiingia mjengoni CCM watamkoma
 
Back
Top Bottom