Ilulu Senior Member Mar 22, 2008 161 31 Jul 16, 2010 #1 Kushoto miaka 35 na kulia miaka 40 Bungeni... Attachments 07_10_4us99h.jpg 51.3 KB · Views: 83
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,216 113,510 Jul 16, 2010 #2 Nchi za magharibi ukishikana mikono na mwanaume mwenzio kama walivyoshikana hao jamaa utazua mambo. Mambo ya tofauti za kiutamaduni bana...
Nchi za magharibi ukishikana mikono na mwanaume mwenzio kama walivyoshikana hao jamaa utazua mambo. Mambo ya tofauti za kiutamaduni bana...
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Jul 16, 2010 #3 Wamefanya bunge kama kijiwe chao cha summer..
D Dandaj Member Apr 16, 2009 73 2 Jul 16, 2010 #4 Abdulhalim said: Wamefanya bunge kama kijiwe chao cha summer.. Click to expand... Wapo wengi bana!!! Bila kumsahau Jackson Makweta, sijawasikia wakitangaza nia za kustaafu kama alivyofanya Poo kimiti na yule mwenzie.
Abdulhalim said: Wamefanya bunge kama kijiwe chao cha summer.. Click to expand... Wapo wengi bana!!! Bila kumsahau Jackson Makweta, sijawasikia wakitangaza nia za kustaafu kama alivyofanya Poo kimiti na yule mwenzie.
Ilulu Senior Member Mar 22, 2008 161 31 Jul 16, 2010 Thread starter #6 Kwaherini Paul & Chris... Attachments kimiti.jpg 21.9 KB · Views: 41
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,031 Jul 16, 2010 #7 Ilulu said: Kwaherini Paul & Chris... Click to expand... Among the useless fellas