Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mahakama ya Rufaa leo imemwondoa jaji Mtamwa kulisikiliza suala la madai ya wastaafu wa Afrika mashariki kwa kile ambacho kiliitwa ni kukosea katika maamuzi ya kukubalina na hoja za serikali katika suala hilo na hivyo kuwakatalia wastaafu hao kusikilizwa shauri lao.
Sasa shauri hilo litapangiwa jaji mwingine ambaye atalisikiliza na kulitolea uamuzi juu ya hoja za kimsingi za wastaafu hao walilipwa nini na walipunjwa nini?
Uamuzi huo ulisomwa na Jaij Mkuu Agustine Ramadhan.................Mahakama ya Rufaa inastahili pongezi kwa kuingilia kwa hiari yake yenyewe danadana zilizokuwa zinaendela hapo Mahakama kuu dhidi ya haki za wazi za wastaafu hao......................
SOURCE: ITV
Sasa shauri hilo litapangiwa jaji mwingine ambaye atalisikiliza na kulitolea uamuzi juu ya hoja za kimsingi za wastaafu hao walilipwa nini na walipunjwa nini?
Uamuzi huo ulisomwa na Jaij Mkuu Agustine Ramadhan.................Mahakama ya Rufaa inastahili pongezi kwa kuingilia kwa hiari yake yenyewe danadana zilizokuwa zinaendela hapo Mahakama kuu dhidi ya haki za wazi za wastaafu hao......................
SOURCE: ITV