Justine Kilasara
Member
- Sep 16, 2009
- 13
- 1
Hodi jamvini
Kwangu mimi hili jambo linanikera sana. hasa kwa wastaafu wa serikali na mashirika ya umma. wengi wanaopata mikataba hii ni wale wenye vyeo vikubwa. kwa hiyo wanazuia ajira mpya kwani ili kulinda haki yao ya kuendelea na mikataba hii mibovu. wana jamvi naomba hivi, mtu akishastaafu aongoke ili apishe vijana waajiriwe na kupata uzoefu, vinginevyo waking'ang'ania kazini mpaka wafe, vijana watapata uzoefu lini? naomba maoni yenu
Kwangu mimi hili jambo linanikera sana. hasa kwa wastaafu wa serikali na mashirika ya umma. wengi wanaopata mikataba hii ni wale wenye vyeo vikubwa. kwa hiyo wanazuia ajira mpya kwani ili kulinda haki yao ya kuendelea na mikataba hii mibovu. wana jamvi naomba hivi, mtu akishastaafu aongoke ili apishe vijana waajiriwe na kupata uzoefu, vinginevyo waking'ang'ania kazini mpaka wafe, vijana watapata uzoefu lini? naomba maoni yenu