Hawawezi kuifuta CDM. Kama uliangalia maojiano ya Wasira na TBC juzi, alishindwa hata kutoa Tamko la kuzuia maandamano japo alilazimishwa sanaaaa na Gabriel Zakaria, sembuse kuifuta? Mi nafikiri ni ngumu kama kupiga ngumi ncha ya mkuki au kumpiga Ng'e busu
john Tendwa ametoa onyo ila kiongozi wa chadema kasema ilo onyo its just a vague so hawana la kujibu. na kama wanaona wamekosea waende kokote.Eleweka mkuu ni barua ya uhaini au onyo? And either of the above kwanini?