hivi kwa akili yako unafikiri jk na vibaraka wake (akina Wasira, RA, EL, etc) wanaitakia mema Tz? Wanaohatarisha amani ni viongozi wa ccm ambao wameweka rasiliali zetu kwa mafisadi wachache huku walio wengi wanateseka!
unaweza nipa ushahidi wowote;kashfa;au taarifa mbaya kuhusu Tyson?
nakusubili kaka.
otherwise kubaliana na mimi the Man is clean.