Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Sokwe huyu ametoroka Mikumi anaongea utumbo tuu
<br />Kaa kimya wewe unatukera'umetumwa uzungumze utumbo.
ha ha ha! Ya kwake isingeuzika!Hivi wale waliokuwa wanauza ngozi za binadamu kule Mbeya waliishia wapi:A S 13:
I try to be neutral nimsikize lakini nimeshndwa,he is disgusting!
Hebu mtizame Steven Wassira TBC1 akiongelea hotuba ya JK! Kweli kazi tunayo Tz!
Anasema 'Dr Slaa amekuwa akiongelea suala la ufisadi miaka mingi sana lakini wananchi hawakumchagua' anamaanisha nini? Je wananchi wanapenda ufisadi, kwa kuwa waliichagua ccm badala ya Slaa anayepinga ufisadi?