emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Ni vema kuwe na ukomo wa umri wa mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ili kuepusha usingizi kama huu. Hivi ana miaka mingapi make mia tangu utoto namsikia Wassira kama waziri hachoki?
sura ya wasira inafaa kutumia kutishia watoto ambao hawapendi kula..Lengo la JK kumweka tyson kwenye baraza la Mawaziri ni kujaribu kuweka watu wanaotishatisha kwa sura na kauli, ili at least baadhi ya mambo yaende kimjinimjini!
sura ya wasira inafaa kutumia kutishia watoto ambao hawapendi kula..
ambao hawapendi kuoga -- ha ha ha
Jamani mwacheni mzee wa watu asitaafu kwa heshima, alipata taabu sana kipindi fulani hadi kuanza ujasiliamali wa SATO (Mza - Dar) kwa ATC.
Ni mzee wetu huyu lakini si yeye pekee bali hata wengine wengi ndani ya bunge inakuwa vigumu kuenda tofauti ya sera ya vyama vyao, kuna wakati inabidi mtu aonekane hajui ili kukitetea chama chake - hilo halikwepeki ndugu zangu.
View attachment 32553
kuna wengi wanao sinzia kwenye mikutano kwa kuanzia hawa hapa list itaendelea...lolView attachment 32554View attachment 32555
View attachment 32553
kuna wengi wanao sinzia kwenye mikutano kwa kuanzia hawa hapa list itaendelea...lolView attachment 32554View attachment 32555
Bado ile ya Mwanakwaya mkuu wa bendi ya chama cha magamba. nadhani sasa hivi ni mwakilishi wa wananchi wa huko anakotoka. Iwekwe hapa ile inafanana sana na hiyo ya Tyson.
hii ndo tatizo ya kuwa na viongozi wazee
hii ndo tatizo ya kuwa na viongozi wazee
Kwikwikwii.....anaota kebineti ya 2015 hapa
View attachment 32553
kuna wengi wanao sinzia kwenye mikutano kwa kuanzia hawa hapa list itaendelea...lol