1 kuna viongozi ambao hawaamini katika mfumo wa sheria uliopo na hawautumii, japo wapo nadi ya mfumo huo.............. ninavyojua kwa Utawala wa sheria kila anayevunja sheria Huwa anapelekwa Mahakamani na Magamba Ndio Watunza sheria sasa Kwa Issue ambazo wao wanaona ni sensitive za uvunjivu wa sheria .....................
2. Kuna viongozi ambao kuwa na facts sio jambo lazima ili wafanye maamuzi, au kutoa matamshi jukwaani, hata majungu pia yanakubalika.
Wewe kama kiongozi,
please kuwa mzalendo simamia utaratibu ilioko kwa matendo.
Epuka kujihusisha na majungu
epuka kujitoa kwa shetani ili upate cheo, faida yake ni ndogo sana.
Kuwa jasiri simama pamoja na maneno yako. Yani practise what you preach,hii si kwa chama kimoja u kingine, ni kwetu wote kuanzia familia hadi taifa