Wasira afunge domo lake, huyu anatetea ufisadi tu, anajulikana yeye na kiringi chake ccm wamekuwa wakipeana trasportation and distribution tender zote za chakula cha ziada. Mtoto wa mkuu huchukua zote na kuzi subcontract kwa swahiba wake Saimon Group, fungu nyingine ni kwa mwenyekiti wa ccm mkoa Iringa maarufu kama Jah people trans, walala hoi wengine huambulia tani 50 au 100. tender ya over 1b Wassira and his gang suck it up, of course atasema chochote kutetea uhuo mlo. lakini ukweli ni kwama DR SLAA IS A REAL DEAL.