Mandingo, bahati mbaya tu weekend ndio inaishia vinginevyo ningekununulia kinywaji! Ni kweli, hata ukiwaangalia akina Esther ni binadamu wakati Wassira ni sokwe aliyeko Magogoni kumfurahisha Mkwerre kila anapotoka ziara za ughaibuni. Wee unadhani ni kwanini kapewa uwaziri katika Ofisi ya Mkulu? Hujui kuwa huyo ni kivutio cha utalii cha Mzee?Labda kaona wale hawana sura za kule mbugani!
Mandingo, bahati mbaya tu weekend ndio inaishia vinginevyo ningekununulia kinywaji! Ni kweli, hata ukiwaangalia akina Esther ni binadamu wakati Wassira ni sokwe aliyeko Magogoni kumfurahisha Mkwerre kila anapotoka ziara za ughaibuni. Wee unadhani ni kwanini kapewa uwaziri katika Ofisi ya Mkulu? Hujui kuwa huyo ni kivutio cha utalii cha Mzee?
Ndiyo maana nimekuwa na-question sana busara za Mzee Wassira. Yeye angesema tu kuwa watoto wake ni watu wazima na wana uhuru wa kufanya lolote wanalotaka. Makongoro Nyerere alipojiunga na NCCR-Magezui na kuwa mbunge wa Arusha, baba yake Mwalimu Nyerere ambaye alikuwa akiipigia kampeini CCM wakati huo alimpongeza kwa ushindi wala hakumkana.
Watoto wa kaka yake bado ni watoto wake pia, na wala asifanye interest zao kisiasa iwe ni chuki ya kuvunja undugu baina yao. Mzee huyu huwa ana visasi sana, sijui atawafanyaje kama kweli anaonekana kachukizwa na kitendo chao hicho.
absolutely right!Labda kaona wale hawana sura za kule mbugani!
Jamani, kuna mtu alishawahi kuonya dhidi ya kukosoa sura za watu. Hayo ni maumbile ambayo Mungu mwenyewe ameyaweka. Weye unayemponda Wasira, hebu weka picha yako tuione. Si ajabu unafanana na NDEZI. Mie ni CDM damu na huwa sipendi hoja za Wasira. Lakini, hebu fikiria mkewe na watoto wake wakisoma point zenu za kumkosoa mtu kutokana na maumbile; wanajisikiaje? Acheni bwana, onyesheni nguvu za hoja!
Asema si watoto wake ni ndungu wa ukoo wake,na kusena anawatambua kama watoto wa kaka yake
ITV HABARI
nyuzi zilizoletwa hapa zilionesha wale watoto ni wa wasira kwa kuwazaa...lakini hapa inaonesha ni watoto wa kaka yake...
Huoni utafauti uliopo au waleta unazi tu
Slaa na yeye kakosea kuwakabidhi
hizo kadi mbele ya media.
CCM na CDM ni chama kipi cha kisultani wewe dada njiwa ?Hivi inakuwaje hadi mtu anajiunga na chadema??? Can't get it ... maana kuna millions of reassons hiki chama kina mrengo kwa manufaa ya watu wachache ... vyeo wanapeana kiuchumba, wadini , chama cha kikanda, nawashangaa sana wenye akili zao wakishabikia hawa wahuni .. any ways wanabahati jk ni mvumilivu ... ningekuwa mimi hiki chama kingebaki historia
Asema si watoto wake ni ndungu wa ukoo wake,na kusena anawatambua kama watoto wa kaka yake
ITV HABARI
Amesema ni watoto wa kaka yake na wala si wake kama vyombo vya habari vilivyoripoti.SOURCE ITV HABARI