Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Polisi juzi walinukuliwa na gazeti la Mwananchi kukiri kwamba hawakuwa na taarifa kuhusu kufanyika kwa mkutano ambao ulipelekea kukamatwa kwa wafuasi wa CHADEMA, tunajua ni kosa kufanya mkutano bila kujulisha polisi sasa kwa kuwa viongozi wa vyama vya upinzani wanakamatwa kwa kosa hilihili alilolifanya wasila kwann hakukamatwa? Fujo zile zisingetokea kama polisi wangekuwepo.