Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
That chap was always a politician, he's has just been similarly one here.
Hahahahaaa unakuwa kama umeingia sail leo jioni vile, ngoma mpaja j3 halafu karandinga linapita mapema kuwapeleka courtEti mchumi mwandamizi wa dalaja la kwanza kutoka bot ngoja niache nisije nikakung'utwa ban na leo ndio ijumaa!!!!!!!!!!!!!!!
Amwambia kupata A hakuna maana ila namna gani unaitumia hiyo A .............
Khaa sasa mbona walikuwa wanamchangia hela za kumpongeza!
Hahahahaaa hao kina Steve Jobs na mwenzie Bill Gates au?Unajua Mungu hampi binadamu kila kitu. Hata wakali wa kompyuta sura zao zinatisha, lakini mambo yao sasaaaaaa! Wasira alichokisema ni mfano mwingine pevu. Extraordinarily correct!
Hakuna kitu kama hicho. Kukopa ni kosa kubwa sana hususan kwa serikali kama ya JK inayoendekeza mikopo. Kosa la bajeti ya kukopa ni kwamba serikali itakuwa busy inahangaika na kulipa madeni huku ikisahau shughuli za maendeleo.well said ......mzee wassira kawarejesha wapinzani kwenye mstari.
anasema kukopa sio kosa kosa ni namna unavyotumia mkopo.
Dah hilo swali gumu sana asee, mi najua aliwahi kuwa huko chamani kwetu ndio akapanda taratibu mpaka kufikia ngazi ya uprezidenti hayo ya daraja mi hata siyajui labda tuwaulize TCU.....Teh tehHivi Kikwete naye si ni mchumi? Hivi yeye alipata daraja gani ?
Hapo hata waje wawakilishi toka mbinguni nchi hii,maendeleo itakuwa hatua mbili mbele tatu nyuma. ISSUE HAPA NI MUUNDO WA HALMASHAURI ZETU, NO BODY IS SAYING ANYTHING ABOUT IT.
madiwani hawana uwezo wa kusimamia rasilimali zinazopelekwa kwenye halmashauri. madiwani wanachowaza wao no posho tu, wachache wanaoweza kuzielewa technical report, kielimu ndo kabisa wamezidiwa na wanaowasimamia
Porojo zako na wassira zinafanana na jina lako!Miongoni mwa mambo aliyonifurahisha wassira, kwa sasa anajibu maswali bungeni kwa niaba ya serikali lakini kuna kipindi anaachana na karatasi lake analosoma na kushusha nondo kali kutoka kichwani na kutoa mifano kuonyesha kwamba sio mtu wa kuandikiwa na kusoma..... ameshusha nondo za uchumi hata mwiguru kaachwa mbali na mzee huyu..... hakika ni jembe kali.
wabunge wametulia kimya kwa busara ya juu wanamsikiliza mzee wassira.
Nchemba amewakoroga si CDM tu hata chama chake, kwa kweli sasa yuko matatani maana kauli zako zimekuwa harmful kwa chama chake.lazima apigwe chini ameonekana ni chizi
Amwambia kupata A hakuna maana ila namna gani unaitumia hiyo A .............
[mwongozo;4099787]nimekubali mzee wassira ni gwiji wa siasa za tanzanai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! big up mtu mzima!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
siyo siri toka bunge la bajeti lilipoanza, ccm imefunika sn. chdm angalien mmejikwaa wapi! chdm hoi bin taaban]
mmmhhh mmmhhh
nimekubali mzee wassira ni gwiji wa siasa za tanzanai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! big up mtu mzima!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
siyo siri toka bunge la bajeti lilipoanza, ccm imefunika sn. chdm angalien mmejikwaa wapi! chdm hoi bin taaban