KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Juzi juzi hapa jamvini tulimshuhudia Makongoro Wassira anayeishi Marekani akikabithiwa kadi ya CDM
Na kwa kauli yake mweyewe akasema kuwa katika familia yao yeye ametangulia kujiunga CDM lakini wengine wengi watafuata nyayo na ni baba yake tu atakaye baki CCM.
Kwa makusudi kabisa Steven Wassira sikumsikia aseme lolote kuhusiana na mwanae kujiunga na CDM wala matamshi yake.
Cha ajabu hawa mabinti walipojiunga na CDM haraka akakimbilia kuwakana. Mbaya zaidi akaingiza mambo ya wivu kwa watu ambao kesha wakana as if wale ni wake zake,hapa naona tatizo ni kuwa mambo mtu anayoyafanya nakuyahusudu ndiyo huwa kichwani mwake kila kukicha kwa vile yeye anafanya upumbafu huo ofisini anadhani wote wanafanya hivyo mbona hajahoji sehemu Makongoro alikokabithiiwa kadi yake.
Lakini huyu mtu inabidi asamehewe bure si rahisi kujua hizo hoja zake anazitoa akiwa macho au amechapa usingizi kama vile mbung'o wanamwonea huyu babu kama anadiriki kuuchapa kisawasawa mjengoni sijui akiwa nje inakuwaje.
To be realistic the guy is nothing but a spent force we should not take him seriously.