labda ana brain concussion!!
labda ana brain concussion!!
Nimemuona live hapa, TBC wamekwepesha aibu..........bodigadi wa chama analala
Ikitokea mbunge akasema mafisadi wanyongwe atashituka...
Ni sasa hivi inaonyeshwa kwenye TV Wassira akiendelea kupeta kwa kulala saana bungeni