mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
mama yangu mmoja tu!!kwa mjibu wa imani yetu mme anakuwa na mke mmoja tu!!hizo za nyumba ndogo hakuna,kama wewe una amini katika mitala poa ila baba anaye mama mmoja na ni mmoja tu!!!
pole mkuu, kama hujui, kuanzia leo, think big(jf) is where we think, just go ahead and think(get out from that box) mkuu siri anaijua baba ako. Ni juu yako lakini, baba ako anae mwanamke nje, watoto sijui kamuulize