ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Jamaa yangu huwa nafanya part time job baada ya masomo yake muda wa jioni nchini Norway. Hivi karibuni kakutana na kauli ya dharau toka kwa kibabu kinachotunzwa ktk nyumba za wazee. Jamaa wakati anamfanyia usafi kile kizee-baada ya kuwa amejisaidia haja kubwa. Akiwa bize kumvalisha pampas-kumbuka norway wazee hutengwa na jamii ktk nyumba maalum- kibabu kikamuuliza swali. Mahojiano yakawa kama hivi:
Kibabu: where do you come from?
Mtanzania mwanafunzi: i come from Tanzania
Kibabuhhhhhh! where Mt Kilimanjaro is!
Mtanzania mwanafunzi: Yes! have you ever been to TZ?
Kibabu: Yes, i came to TZ three times in my life
Mtanzania mwanafunzi: That's very nice!
Kibabu: So, you came all the way from Africa to Europe just to do the job of cleaning my ass after dropping my shit in the closet!!!!!!
Mtanzania mwanafunzi: He remained puzzled not knowing what to answer or do to an old man.
Siku iliyofuata, jamaa aliamua kuacha kazi kwani alihisi amedhalilika sana ukitilia maanani jamaa alikuwa ni PhD candidate lakini amehisi kudhalilika pamoja na usomi wake.
Swali: Je ungekuwa wewe baada ya kuambiwa kauli ya dharau kama ile ungefanyaje?
Kibabu: where do you come from?
Mtanzania mwanafunzi: i come from Tanzania
Kibabuhhhhhh! where Mt Kilimanjaro is!
Mtanzania mwanafunzi: Yes! have you ever been to TZ?
Kibabu: Yes, i came to TZ three times in my life
Mtanzania mwanafunzi: That's very nice!
Kibabu: So, you came all the way from Africa to Europe just to do the job of cleaning my ass after dropping my shit in the closet!!!!!!
Mtanzania mwanafunzi: He remained puzzled not knowing what to answer or do to an old man.
Siku iliyofuata, jamaa aliamua kuacha kazi kwani alihisi amedhalilika sana ukitilia maanani jamaa alikuwa ni PhD candidate lakini amehisi kudhalilika pamoja na usomi wake.
Swali: Je ungekuwa wewe baada ya kuambiwa kauli ya dharau kama ile ungefanyaje?