Wasomi wa Afrika na Utamaduni wa Magharibi

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Kwa hili, nachukulia kuwa mtu yeyote aliyefanikwa kupata elimu ya sekondari na kuendelea ni MSOMI.

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

Jambo hili naliona katika,
MAVAZI,
MAHUSIANO,
NYIMBO(MUZIKI/NGOMA),
MICHEZO YA KUIGIZA,
VYAKULA,n.k.

Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.

Ninyi wasomi wetu mlioko katika uwanja huu wa JAMII mko upande gani kuhusu jambo hili?
 
The west represents a dominant culture, by the principle of "when in Rome do as Romans" wasomi hawana budi kujichanganya.Sasa hivi in the global village, we are almost all in Rome.

Ama sivyo tufumue geopolitics zote, pamoja na kuanzisha kila kitu chetu, then we can talk. Hapa tulipo tunatumia internet iliyoanzishwa kama ARPANET na wizara ya ulinzi ya Marekani, ukitaka kuleta mambo ya utamaduni kwa sana shurti utoke ukaanzishe an Afro centric internet ambayo haina servers za HP wala chip za Intel.

Hii habari ya utamaduni katika flat world ni hypocrisy kama si self inflicted xenophobia.

Hao wa west wenyewe wamefika hapo walipo kwa kuigiza tamaduni na elimu za wenzao.

Tatizo lisiwe kwamba watu (walio wasomi na wasio wasomi) wanakumbatia tamaduni za wengine, ila hizo tamaduni wanazokumbatia ni nzuri ama la?

Na kama ni mbaya tuziseme kwa ubaya wake, sio kwa sababu ni za kigeni.Kuna tamaduni mbaya na nzuri ambazo ni zetu (ukarimu ni mzuri, kukata wanawake visimi ni kubaya) na hata katika tamaduni za kigeni zipo mbaya na nzuri .Kwa hiyo hii concept ya tamaduni zetu vs za kigeni haina depth, ni uzalendo usio tija tu.

Kwangu mimi ni muhimu zaidi tuongee tamaduni nzuri vs mbaya.
 
Kwa hili, nachukulia kuwa mtu yeyote aliyefanikwa kupata elimu ya sekondari na kuendelea ni MSOMI.

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

Jambo hili naliona katika,
MAVAZI,
MAHUSIANO,
NYIMBO(MUZIKI/NGOMA),
MICHEZO YA KUIGIZA,
VYAKULA,n.k.

Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.

Ninyi wasomi wetu mlioko katika uwanja huu wa JAMII mko upande gani kuhusu jambo hili?

Hii hoja imepinda kidogo maana hata huo "usomi" unaouongelea wewe ni wa kimagharibi vile vile. Hebu nitajie fani hata moja ambayo aidha kanuni au vitabu au magwiji wake sio wakimagharibi?
 
Hard talk!

I will come back! kwanza nitafute desa!

Waberoya,
Pekua Desa mwenzangu kama walivyofanya wale watu wa Beroya katika msahafu.
Hi mada ni ya wakati huu hasa; japo haitakosa wakosoaji kama kawaida.
Mimi sipendi tabia ya wasomi wa kiafrika kupush aside utamaduni wetu.
Ndo maana hata utumwa wa kifikra unazidi kutukalia waafrika.
Bado sijatoa hoja kamili.Ni kionjo tu.Naenda kudesa ili nisijikanyage.
 
Mimi sipendi tabia ya wasomi wa kiafrika kupush aside utamaduni wetu.

Utamaduni "wetu" (sijui wewe na nani) ni upi huo? Mimi msukuma chapa ya ng'ombe kutoka Ntuzu nina utamaduni tofauti kabisa na Wamasai. Sasa wewe sijui unazungumzia utamaduni "wetu" upi huo....can expound please

Hii hoja imepinda na inanuka unafiki mtupu
 
Kwa hili, nachukulia kuwa mtu yeyote aliyefanikwa kupata elimu ya sekondari na kuendelea ni MSOMI.

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

Jambo hili naliona katika,
MAVAZI,
MAHUSIANO,
NYIMBO(MUZIKI/NGOMA),
MICHEZO YA KUIGIZA,
VYAKULA,n.k.

Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.

Ninyi wasomi wetu mlioko katika uwanja huu wa JAMII mko upande gani kuhusu jambo hili?

Mkuu nadhani hapo ungebainisha ni kizazi kipi hicho cha kisomi kimeachana na hizo tamaduni unazosema. Manake ukiangalia tukianzia na viongozi ambao wengi wao wamesoma hawajaacha tabia ya kutambika/kwenda kujiimarisha kabla ya uchanguzi nadhani ili unalifahamu. vile vile wanaposimikwa nyadhifa mbalimbali kuna aina fulani ya matambiko huwa yanafanyika.Ebu angalia tuanvyopokea wageni toka nje je na ngoma/nyimbo gani wanapokelewa nazo?? Vilevile mkuu unapaswa kuelewa kwamba Tamaduni za binadamu zinabadilika kutoka kizazi mpaka kizazi kulingana na mazingira ya binadamu kwa wakati huo na maendeleo yake. Kwa hiyo husitegemee tamaduni zilizokuwepo kabla ya kuja wageni barani Afrika zote zitaendelea kuwepo mpaka leo hii.
 
Kwa hili, nachukulia kuwa mtu yeyote aliyefanikwa kupata elimu ya sekondari na kuendelea ni MSOMI.

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

Jambo hili naliona katika,
MAVAZI,
MAHUSIANO,
NYIMBO(MUZIKI/NGOMA),
MICHEZO YA KUIGIZA,
VYAKULA,n.k.

Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.

Ninyi wasomi wetu mlioko katika uwanja huu wa JAMII mko upande gani kuhusu jambo hili?

Kumaliza sekondari ni kujua kusoma na kuandika tu.
 
Kwa hili, nachukulia kuwa mtu yeyote aliyefanikwa kupata elimu ya sekondari na kuendelea ni MSOMI.

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

Jambo hili naliona katika,
MAVAZI,
MAHUSIANO,
NYIMBO(MUZIKI/NGOMA),
MICHEZO YA KUIGIZA,
VYAKULA,n.k.

Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.

Ninyi wasomi wetu mlioko katika uwanja huu wa JAMII mko upande gani kuhusu jambo hili?


Na wewe upo upande gani maana hata hiyo computer unayotumia kuandika hapo ni utamaduni wa magharibi, utamaduni wetu ilikuwa msg tunapeleka kwa mkono !! Hata kama ni mbali utatumwa na utatembea hata zifike siku 10 lakini utafikisha ujumbe. Kwa hiyo labda utoe specifics unataka utamaduni katika nini.
 
Tamaduni zote zipo poa tu, iwe ya africa au magharibi.Ilimradi isiwe mbaya.
 
Kumaliza sekondari ni kujua kusoma na kuandika tu.
ZA10,
Usisahau huko Arusha kuna Seconday moja wanafunzi wa form three hawajui kusoma wala kuandika! MAAJABU YA TZ!Ina maana wakimaliza sekondari wanatakiwa kwenda kwenye ngumbaru!
 
................

Hao wa west wenyewe wamefika hapo walipo kwa kuigiza tamaduni na elimu za wenzao.

BLURAY,
Hii inaonyesha kuwa kila jamii hukua kwa kuiga tamaduni za wengine siyo?
Labda hapa ninaanza kupata mwanga.
 
Hii hoja imepinda na inanuka unafiki mtupu

NYANI,
Naona umeanza matusi ya rejareja.Nakubali kuwa hoja inanuka kwa mujibu wa pua zako.Pole sana.
Tafadhali waachie waungwana wavumilivu wanisaidie nipate mwanga fulani.
Asante kwa mawazo yako mazuri sana bwana nyani.
 
Mkuu.......... ...............................Tamaduni za binadamu zinabadilika kutoka kizazi mpaka kizazi kulingana na mazingira ya binadamu kwa wakati huo na maendeleo yake.QUOTE]

MTU...,
Nimependa mtazamo wako.
Nagundua kuwa kumbe kubadilika ni sehemu muhimu katika maendeleo.
Endelea mkuu.
 
BLURAY,
Hii inaonyesha kuwa kila jamii hukua kwa kuiga tamaduni za wengine siyo?
Labda hapa ninaanza kupata mwanga.

China knew about gunpowder at least 500 years before the west, but the west copied the technology and culture of using gunpowder and took it to another level.The same applies to "China" utensils. Check out some Marco Polo.

Before the crusades the west was a sorry backward place.But as the crusaders invaded middle eastern palaces and libraries they found out a lot about chemistry, cosmology and mathematics just to name a few, that is the origin of arabic names to some terminologies in these fields, names such as al-kali, al-gebra etc.

Without copying from other civilizations, even the west wouldn't be where it is today.To take man to the moon they had to copy the primitive ideas of gunpowder and canons from the Chinese, finesse a lot of concepts from the science of mathematics. Even Scotch Whisk(e)y would not be possible withoutb the west copying distillation from the Arab scholar Rhazes.

The west as it is today is a product of The Renaissance, in turn from Rome, in turn from Greece, which mostly copied it's concepts from Egypt and the Middle East.

No man is an island, no progressive civilization and people should be one too.
 
Last edited:
...............

Without copying from other civilizations, even the west wouldn't be where it is today.

Bluray,
I'm getting you now.
I see the importance of copying.
But this copying should be with guidlines then.
Can we advice the society how to copy?
 
..........

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

..............
Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.
QUOTE]

Exaud,
Kwa mawazo yangu, wasomi hawa wanaiga utamaduni huo kwa pupa bila kuwa na sababu ya msingi.
 
..........

Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu sana.

..............
Je hawa wasomi wetu wamegundua nini kibaya katika utamaduni wa kiafrika kisha kuusukumia pembembeni?.
QUOTE]

Exaud,
Kwa mawazo yangu, wasomi hawa wanaiga utamaduni huo kwa pupa bila kuwa na sababu ya msingi.

WANA JF,
SAWA, hapo kuna ukweli fulani kwamba kuna mahali watu wanaiga utamaduni bila sababu.

Napendekeza sasa tuweke wazi ni Utamaduni gani unaigwa vizuri na ni upi unaigwa vibaya.
 
Back
Top Bottom