Wanafunzi wa vyuo vikuu vilivyo Dodoma (wanachama wa CCM) leo wamefanya maandamano ya kumunga mkono Mkwere kama mgombea pekee wa urais kwa tiketi ya CCM. Huu ni ujinga na kukuosa kujitambua, inawezekanaje kwa msomi wa Chuo kiku tena anaetegemewa kuleta mapinduzi ya kidemokrasia ktk nchi iliyosinzia kidemokrasia?
Je ni mkwere huyu huyu anayehubiriwa kuwa anakubalika 75%, anasifiwa kuwa maarufu kuliko chama chenyewe hadi kulewa sifa na kuchagua kura? Je sio huyo ndie aliyesema hataki kura za wafanyakazi? Ni nani anayeogopwa ndani ya chama kuwa akichukua fomu atamuangusha mkwere? Kama 75% ameipata kwa uhalali hii inareflect kuwa anapendwa hata ndani ya chama pia, sasa inakuwaje?
Huu ni ukandamizaji wa demokrasia unaopaswa kupingwa na wana CCM wenyewe, sio tusubiri akina Slaa na Zito kuja kutuhubiria hilo. Mapinduzi halisi ni yale yanayoanzia ndani ya chama. Wapi zimedumu fikra za mwasisi wa Chama? Ni waliko wazee wa CCM kukemea hilo?
If we cana not change the system why not change ourselves? Changes are never just happen, but they are caused to happen. We are the one to bring them changes!
Je ni mkwere huyu huyu anayehubiriwa kuwa anakubalika 75%, anasifiwa kuwa maarufu kuliko chama chenyewe hadi kulewa sifa na kuchagua kura? Je sio huyo ndie aliyesema hataki kura za wafanyakazi? Ni nani anayeogopwa ndani ya chama kuwa akichukua fomu atamuangusha mkwere? Kama 75% ameipata kwa uhalali hii inareflect kuwa anapendwa hata ndani ya chama pia, sasa inakuwaje?
Huu ni ukandamizaji wa demokrasia unaopaswa kupingwa na wana CCM wenyewe, sio tusubiri akina Slaa na Zito kuja kutuhubiria hilo. Mapinduzi halisi ni yale yanayoanzia ndani ya chama. Wapi zimedumu fikra za mwasisi wa Chama? Ni waliko wazee wa CCM kukemea hilo?
If we cana not change the system why not change ourselves? Changes are never just happen, but they are caused to happen. We are the one to bring them changes!