sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,131
- 4,249
Hawatoki kwenye CCM labda bado wanaamini kwamba wanaweza wakafanya mapinduzi ndani ya chama bila kutoka kwenye chama.Lakini ni vigumu kufanya mapinduzi bila kuwa na ushawishi mkubwa ndani ya chama.Lakini wanaposhindwa kutimiza yale waliokusudia wanabakia kuwa popo (neutral) ili walinde mkate wao.In other words their victims of curcumtances.
"If you can not defeat them join them"
"If you can not defeat them join them"