...Hainiiingii kabisa akilini
kuamini kwamba wasomi wote mlioko CCM
mnakubali kwamba mikutano wa hadhara inatosha kuwaelezea wapiga kura wenu
sera zenu......
Ni kweli au ndo mnaogopa Mzee Makamba?
Mko wapi kutetea uamuzi wa chama chenu?
wako wapi ma dr. Wa ccm?
Makamba nibaba waccm kila asemalo linakubalika na wanaccm wanamuogopa!
Makamba nibaba waccm kila asemalo linakubalika na wanaccm wanamuogopa!
He's is Joe Biden of Tanzania:becky:
You gotta love him!
Vote CCM
Yaani hapo umenichekesha kweli.. chama dume ndo maanake nini? Yaani mijitu ya sisiem wako bize wanaendeleza na kusifia mfumo dume na mawazo yao daima yako kwenye ishu za unyumba tu... ila ni sawa kwa level yao hawana upeo wa kufikiri nje ya hapo.. yaani hapo ndo mwisho... mwaka huu hawana hata slogan ya maana hata ile Ari zaidi nguvu zaidi .. wameiua wameweka mabango ya mabilioni na slogan pekee ni Chagua CCM, chagua Kikwete... wameishiwa...Nimewahikusema kwamba either uwe unafaidika na mfumo wa kiwiziwizi huu ulipo madrakani au uwe na mtindio wa ubongo kama unahitaji kui-support CCM. Mtu mbinafsi ni mtu mbaya sana, me me me me........ wengine wacha wale majani!
Imagine mtu dignity yako umekula shule, unajisalimisha kwa mtu kama makamba. Ni unafiki na ubinafsi wa hali isiyoelezeka. Sikuhizi imebaki kusema tu, Chagua ccm, ni chama dume, wamekimbia midhalo yote, hakuna mafanikio yeyote.
Kwa nini mnakubali kudhalilika namna hii?
Nimewahikusema kwamba either uwe unafaidika na mfumo wa kiwiziwizi huu ulipo madrakani au uwe na mtindio wa ubongo kama unahitaji kui-support CCM. Mtu mbinafsi ni mtu mbaya sana, me me me me........ wengine wacha wale majani!
Imagine mtu dignity yako umekula shule, unajisalimisha kwa mtu kama makamba. Ni unafiki na ubinafsi wa hali isiyoelezeka. Sikuhizi imebaki kusema tu, Chagua ccm, ni chama dume, wamekimbia midhalo yote, hakuna mafanikio yeyote.
Kwa nini mnakubali kudhalilika namna hii?
Ndo maana usishangae wasomi wote mahiri pale UDSM wameishia Botswana au Rwanda ambako michango yao inaheshimika....na wanalipwa kwa kazi zao za kitaaluma......sio hawa MaPhD na MaDr...... wa CCM wanaoBAKA taaluma nchini.....Profosooo Magembe kawa mvivu wa kufikiri hata kuongea...