Gabraison jr
Member
- Sep 7, 2011
- 21
- 1
Jamani wana JF hili la wasomi kuwa watumwa kwa wanasiasa litakoma lini?maana hal ni mbaya sasa wameamia had mashulen kwa mfano leo mkuu wa mkoa alizulu shulen kwetu na kuongea pumba zake kwa dakika 30 lakin yapata wiki hatujasoma kufanya maandaliz.je nini kifanyike?naomba kuwasilisha