Jana wakat wa kikao cha Bunge alisimama mama mmoja mtu mzima ambaye alikuwa akichangia hoja juu ya wizara ya mambo ya ndani,sikuweza kujua ni MBUNGE wa chama gani,mama huyu kwenye mchango wake yeye alizungumzia sana juu ya wahamiaji haramu,hususan WASOMALI,alisema yeye anaish KURASINI anaona jinsi wasomali wanavyotumia nguvu ya pesa kuwanyanyasa raia,wanavunja nyumba za watu,wanachakachua mafuta huku POLISI wakiwa wanawasimamia,,,,,,,,
Mama huyu ambae inaonesha ana ushahid alimtaja hadi msomali mmoja (jina nimelisahau),inaaminika huyu ni mfanyabiashara mkubwa hapa jijin,yeye haguswi na mtu yeyote,,,,,lakini alizitaja baadhi ya hoteli ambazo wasomali wamezjenga maeneo mbalimbali hapa nchini,akasema hiko ni kiini macho tu,wanazitumia hizo hoteli kama mwamvuli wa kufanyia UJANGILI,hoteli hizo zipo kwenye mbuga za wanyama au karibu na mbuga hizo.
My Take:madai ya huyu mbunge ni vizuri yakafanyiwa kazi,kwa sasa KASI YA ONGEZEKO LA WAHAMIAJ HARAM HASA WASOMAL NA WAKONGO NI KUBWA SANA,JUZ KUNA MSOMAL ALIOGOPA KUSAJIL NAMBA YA SIMU MAHAL KWA SABABU HAKUWA NA KITAMBULISHO,,,,,,KARIAKOO YA SASA IMEJAA WASOMALI,HIVI NI KWELI WANA VIBALI VYA KUISHI?????
Mama huyu ambae inaonesha ana ushahid alimtaja hadi msomali mmoja (jina nimelisahau),inaaminika huyu ni mfanyabiashara mkubwa hapa jijin,yeye haguswi na mtu yeyote,,,,,lakini alizitaja baadhi ya hoteli ambazo wasomali wamezjenga maeneo mbalimbali hapa nchini,akasema hiko ni kiini macho tu,wanazitumia hizo hoteli kama mwamvuli wa kufanyia UJANGILI,hoteli hizo zipo kwenye mbuga za wanyama au karibu na mbuga hizo.
My Take:madai ya huyu mbunge ni vizuri yakafanyiwa kazi,kwa sasa KASI YA ONGEZEKO LA WAHAMIAJ HARAM HASA WASOMAL NA WAKONGO NI KUBWA SANA,JUZ KUNA MSOMAL ALIOGOPA KUSAJIL NAMBA YA SIMU MAHAL KWA SABABU HAKUWA NA KITAMBULISHO,,,,,,KARIAKOO YA SASA IMEJAA WASOMALI,HIVI NI KWELI WANA VIBALI VYA KUISHI?????