Mwambonalgw
New Member
- Nov 29, 2011
- 2
- 0
Wanasiasa wote wana lengo la vyama vyao na mitizamo yao.
Jamii forum iwe na kipengele cha kuwakosoa na kuwashauri wanasiasa hata wanajamii forum wenyewe.
Kiongozi au mwanasiasa asiyekubali kukosolewa hatufai LAKINI anakosolewa na nani ?
Mimi naona ni vizuri kuwapo na chombo hiki hata katika jamii, kinachoweza kusema kwa busara na ukweli.
Jamii forum iwe na kipengele cha kuwakosoa na kuwashauri wanasiasa hata wanajamii forum wenyewe.
Kiongozi au mwanasiasa asiyekubali kukosolewa hatufai LAKINI anakosolewa na nani ?
Mimi naona ni vizuri kuwapo na chombo hiki hata katika jamii, kinachoweza kusema kwa busara na ukweli.