FRANK EDWARD
New Member
- Sep 24, 2007
- 4
- 0
Wadau mimi ni mpenzi sana wa gazeti la mwananchi hiyo inatokana na umakini wa habari zake. Lakini tangu ndugu Kafulila atoke Chadema hawa ndugu wa gazeti la mwananchi naona wamepata dili! kwani hakuna gazeti wanalotoa bila kajihabari kanakohusu Chama Cha Chadema. Kwa upeo wangu mimi naona wanaanza kupotoka kwani kwa mtaji huu wanaonekana kama kuna mkono wa mtu katika kuchochea chuki ndani ya chama.