ee bana nyie jamaa mnamwaribia sana kibonde'yaani kibonde ni mzoefu kwenye hiyo kazi halafu ana kipaji cha kuongea'sasa nyie vilaza wawili mnaharibu kila kitu'sijui nini maana ya nyie kuruhusiwa kufanya kazi na mtu kama kibonde'ovyo sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.