Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Acha utani bana!!!!Tatizo Magamba Wameanzisha Jeshi, Hadi Jana mwenyekiti wao alikuwa anaonyeshwa Gwaride la jeshi la Magamba!! Sasa kama tumefikia mahali chama cha siasa kuwa na Jeshi je amani bado Ipo?