sasa hivi mnakosea kusema kila anayenyoosha vidole viwili tayari ni mwanachama wa chadema.Mtambue kuwa kuna wasio kuwa na chama na wa vyama vingine wakati mwingine wanafanya hiyo katika kukiunga mkono tu kama namna yakuionyesha ccm kuwa wanachosimamia chadema ni sahihi
My God tumefikia hapo?
Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapo. Habari hizi ni za uzushi mie mwenyewe niko Arusha mbona sikuliona ? Acha kuleta unyunyu humu ndani habari hz ulitakiwa umpelekee mumeo. Na waonyesha ww si mtanzania , angalia red hapo juu.
Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapo. Habari hizi ni za uzushi mie mwenyewe niko Arusha mbona sikuliona ? Acha kuleta unyunyu humu ndani habari hz ulitakiwa umpelekee mumeo. Na waonyesha ww si mtanzania , angalia red hapo juu.
Chadema mnajua kupigana! Ni chama cha fujo na kupigana kina wavuta bangi kibao kuanzia Taifa hadi mitaani!
Hongera Chadema lazima kieleweke!