Wasira live Arusha maadhimisho ya CCM mkoa

chuki

JF-Expert Member
Mar 10, 2011
2,715
533
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu;Mhe Stephen Masatu Wasira hivi sasa yuko Meru kuhudhuria maadhimisho ya miaka 35 ya Chama Cha Mapinduzi, yanayaofanyika kimkoa mjini Meru, hapa kwenye Mkutano watu ni wengi sana tofauti na ilivyotaegemewa, kivutio kikubwa kimekuwa ni Wasira ambaye amekaribishwa kama mgeni RASMI kuhudhuria sherehe hizi.

Pia ikumbukwe Wasira ni Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa (CC) hivyo amepewa dhamana ya kuwa MLEZI wa Chama hicho MKOA WA ARUSHA.
Baadhi ya watu waliohudhuria wamesema wamekuja kwawingi kwa kuwa wanaimani na CCM na hasa kipindi hiki kigumu ambacho mbunge wao

Mhe: Sumari amewatoka,Pamoja na hayo wengi wamsema wanavutiwa na hotuba nzuri za nguli huyo wa siasa hapa nchini, na nukuu;
"Mhe.Wasira akitoa hotuba anaelewaka, utafurahi na kuelimika tofauti na viongozi wengine."
 
Gosh, bado watu wanawekeza kwenye propaganda za mwaka 47!
 
Jana kwenye madhimisho ya miaka 35 ccm arusha wanachama na viongozi akiwamo wasirra (tyson) jana walitimua mbio baada ya kukatisha kwa maandamano kwenye ngome ya cdm mambo yalikuwa hivi.

CCM walikuwa wanaelekea mbauda njiani vijana wa cdm wakawa wanawaonyesha alama ya V sisim walikasirika na wakawakamata baadhi ya vijana wa cdm ndipo wanachama na wapenzi wa cdm wakatokeza kwa wingi barabarani na kuanza kutembeza kipigo cha mbwa mwizi na kupelekea wanaccm kujeruiwa vibaya sana na wengine kukimbizwa hospitalini ndipo wasira na viongozi wengine wakakimbilia kusiko julikana.
Polic walikuwepo lakini waliogopa kuingilia na wakawa watazamaji tu.

Source; ni wapo redio FM

Nawasilisha.
 
Jana kwenye madhimisho ya miaka 35 ccm arusha wanachama na viongozi akiwamo wasirra (tyson) jana walitimua mbio bahada ya kukatisha kwa maandamano kwenye ngome ya cdm mambo yalikuwa hivi
Ccm walikuwa wanaelekea mbauda njiani vijana wa cdm wakawa wanawaonyesha alama ya V sisim walikasirika na wakawakamata baadhi ya vijana wa cdm ndipo wanachama na wapenzi wa cdm wakatokeza kwa wingi barabarani na kuanza kutembeza kipigo cha mbwa mwizi na kupelekea wanaccm kujeruiwa vibaya sana na wengine kukimbizwa hospitalini ndipo wasira na viongozi wengine wakakimbilia kusiko julikana.
Polic walikuwepo lakini waliogopa kuingilia na wakawa watazamaji tu.
Source; ni wapo redio fm
Nawasilisha.

Hii ishu imetokea kweli ila inasemekana vyombo vya habari kwa maana ya TV na redio wasitangaze sana.
 
Huu mtindo wa ccm kupita njiani na kuanza kupiga watu kisa eti wameonyeshwa vidole ni hatari!!kwa sasa umeshakuwa kama ni desturi,mimi binafsi nilishawashuhudia ccm ndiyo uwa chanzo cha haya yote,wanapopita kwenye hayo matembezi yao (maana wao uwa hawaandamani) uonyesha dole gumba kwa watu walio pembeni mwa barabra na mara wakijibiwa inakuwa tabu,ni bora vyombo vya usalama viwe makini kwa hili kuna siku maafa yatakuja kutokea.
 
Chadema mnajua kupigana! Ni chama cha fujo na kupigana kina wavuta bangi kibao kuanzia Taifa hadi mitaani!
Hongera Chadema lazima kieleweke!
 
Machalii wa Arusha wana akili sana!
Mwanza kazi safi, Mbeya kazi safi - Tunduma kazi safi; Iringa kazi safi; Arusha kazi moto moto; Moshi kazi safi saana,

Singida, Tabora, Dodoma mbona mnatuangusha? mmekubali kuliwa milele? amkeniii....kumeshakucha
 
Back
Top Bottom