Katika hali isiyokuwa ya kawaida, leo imethibitika kuwa Waziri wa nchi ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu hajui majukumu yake kwa sababu kwa mujibu wa Tangazo la Serikali analotoa Rais baada ya kuunda serikali Wasira anatakiwa kuratibu: Mosi mahusiano ya serikali na dini, vyama vya siasa na asasi za kiraia, Pili usalama wa taifa, na Tatu Tume ya Mipango.
Alichokifanya leo akiwasilisha hotuba ya bajeti ya ofisi yake, amegusia kwa undani suala la dira ya taifa ya 2025 na mpango wa maendeleo wa miaka mitano ambao umewasilishwa hivi juzi na kwa ujumla hotuba yake imerudia hotuba karibia yote ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano aliyotoa juz juz bungeni.
Tofauti na hayo Msemaji wa Kambi ya upinzani Israel Natse aligusia mambo yote hayo kwa mujibu wa instrument ya majukumu ya mawazir.
Hii inaonesha semina elekezi za Rais kwa wateule wake hazijazaa matunda walikuwa wanakula posho tu.
Kazi ipo.
Alichokifanya leo akiwasilisha hotuba ya bajeti ya ofisi yake, amegusia kwa undani suala la dira ya taifa ya 2025 na mpango wa maendeleo wa miaka mitano ambao umewasilishwa hivi juzi na kwa ujumla hotuba yake imerudia hotuba karibia yote ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano aliyotoa juz juz bungeni.
Tofauti na hayo Msemaji wa Kambi ya upinzani Israel Natse aligusia mambo yote hayo kwa mujibu wa instrument ya majukumu ya mawazir.
Hii inaonesha semina elekezi za Rais kwa wateule wake hazijazaa matunda walikuwa wanakula posho tu.
Kazi ipo.