William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Its obvious you are speaking with passion na ushabiki. Ume lalamikia wanao taka Malecela aondoke simply because of age, fine thats understandable. Ambacho sielewi ni wewe una tofauti gani na hao? Maana hata wewe hauja toa hoja. Hauja sema nini mafanikio ya Malecela jimboni mwako. Sasa kama hauja sema ni kafanya kustahili kubaki na unamtetea na wewe si mshabiki tu? If you feelstrongly about Malecela & if your support is driven by facts rather than passion then I don't see why it would be hard for you kutaja mafanikio ya Malecela. Kama hauwezi kutaja mafanikio yake basi huna haki ya kumlaumu yule anaye taka aondoke simply because of his age.
- Unataka nitaje mafanikio yake mara ngapi mkuu au na wewe una makengeza? Nenda nyuma ukaone halafu acha ukali ni haki yangu kutoa maoni yangu hapa JF wewe ni nani wa kuuliza kwa nini ninatoa maoni yangu? Wewe toa maoni yako na mimi ninaeka yangu mpaka asubuhi, kama huwezi waachie wanaoweza!
FMEs!