Jamani mbona kimya humu! Habari za tcu hamna?
karibu JF...JUA kuna kitu kinaitwa BAN...Jamani mbona kimya humu! Habari za tcu hamna?
BAN ndo nini?
BAN ndo nini?
Hehe, Jf imevamiwa!!!
ze duduz kaongeza members jf
nani kasema !! Ila hawa madogo washaharibu jukwaa letu
dah mbona hata hao wanaaosema kwamba majina yametoka ya selection lakini mi cyaoni
help me jamani
ila tokea uweke ile link mpaka leo naona umewaleta wengi kinyama..eka mengine uongeze idad ya wana JF!!!!nani kasema !! Ila hawa madogo washaharibu jukwaa letu
no hiyo ni kwa wote ndo maana wamesema "dear applicants" which means a message for all!! once you read it tell your fellas who dnt know about this.
Hiv yale majina 'appl. Wit misng inf' ndo hayo walosema wataya tangaza leo au kuna mengine tunasubiri?