Wasio olewa wafanyeje?

Mungu kamuumbia kila mtu wa kwake,ila hatuamini tu,tunakurupuka hatuombi kwa kumaanisha

Kwa sisi RC, ndoa ni sakramenti na kuna sakramenti nyingine kama upadre ambazo huwezi kuwa nazo kwa wakati mmoja (lazima uwe na mojawapo). Sasa ni Mungu tu anatupangia hizi sakramenti aidha ndoa au upadre. Na pia kuna masista wakifunga nadhiri ya maisha hawatakiwi kuolewa.

Tatizo linakuja wanawake (RC) wanasahau kuwa ndoa ni sakramenti na sio fashion. Pia wanasahau lengo la ndoa kama Mungu alivyosema na kuanza kuwa na malengo tofauti kama kutaka mume mwenye pesa/ mali nyingi, kabila fulani, ukoo wenye jina kubwa vitu ambavyo ni rahisi kwa mwanamke kuachwa kwenye mataa.

Pia wanawake waelewe kuwa wanajukumu kubwa la kushawishi kuolewa na sio tu kukaa kimya na kusubiri mwanaume aseme nataka kukuoa - ni lazima kumkumbusha huyo rafiki yako wa kiume. Na mnapoanza mahusiano lazima mwanzo kabisa muulizane hivi ni kwa nini mna hayo mahusiano ya kimapenzi na mwisho wake ni nini? je, ni lifetime relationship au just for pleasure au short term - hit and run? Na mwisho ni kuwa na tabia njema - hivi mwanamke kila siku ana bwana tofauti, lugha chafu, muda wote yuko bar, ofisini board members wote wa kiume wamekwisha chapa, too demanding - kila fashion anataka; kuolewa ni bahata sana, na ndoa kudumu pia ni bahati sana.

Marafiki nao wanachangia wanawake kutokuolewa, mfano hai, mwanamke anamwambia rafiki yake nimepata mchumba, rafiki yake anamwuliza huyo jamaa ana-drive, anafanya kazi ya 'white collar, senior officer sehemu fulani au blue collar. Halafu anamwambia tafuta spare tyre kwani huyo akikuacha unakuwa na mwingine. Sasa ukitafuta spare tyre halafu yule mwenye nia ya kweli akagundua unategemea nini kitokee kama sio jamaa kutokutokea siku ya ndoa!!!

Pia tujiulize, je wanaume wote wameoa ukitoa mapadre, mabruda na matoashi?
Pia walioachika wafanyeje?!!

Hapa nimejaribu ku-unpack alichosema Gaga though not very sure!!
 
Ndoa ni hapa duniani tu Mbinguni hakuna ndoa, lakini duniani tumepewa amri za MUNGU ambazo ni lazima tuzitii pia; hivyo ni maamuzi yako ufuate nini.
 
Saafi dada.. Kama kuna vitu shetani hataki kusikia ni ndoa...nje ya ndoa ni uzinzi - machukizo mbele za Mungu..ndoa zinawezekana kama alivyosema gaga hapo juu..ila bintis zetu warudi kwa watu wazima wawape maujanja (fundwe), waache udhungu uchwara (utumwa wa mila za magharibi)..leo unakuta bint kavaa kata 'k' mtaani...nje ya ndoa mwanamke hayuko salama..kama atakuwa na watoto nje ya ndoa huko mbele ya safari aweza pigwa na upweke/sononi unless awe mcha Mungu...Mimi ni Baba wa yatima na Mume wa wajane..

Tafadhari soma mada vizuri utupe majibu sahii, wasioweza kuolewa wafanyeje??? manake inawezekana kabisa mwanamke kukosa wa kumuoa si kama mwanaume ambaye akiamua wakati wowote hata kama ana miaka 70 aweza oa!
 
Kwa sisi RC, ndoa ni sakramenti na kuna sakramenti nyingine kama upadre ambazo huwezi kuwa nazo kwa wakati mmoja (lazima uwe na mojawapo). Sasa ni Mungu tu anatupangia hizi sakramenti aidha ndoa au upadre. Na pia kuna masista wakifunga nadhiri ya maisha hawatakiwi kuolewa.

Tatizo linakuja wanawake (RC) wanasahau kuwa ndoa ni sakramenti na sio fashion. Pia wanasahau lengo la ndoa kama Mungu alivyosema na kuanza kuwa na malengo tofauti kama kutaka mume mwenye pesa/ mali nyingi, kabila fulani, ukoo wenye jina kubwa vitu ambavyo ni rahisi kwa mwanamke kuachwa kwenye mataa.

Pia wanawake waelewe kuwa wanajukumu kubwa la kushawishi kuolewa na sio tu kukaa kimya na kusubiri mwanaume aseme nataka kukuoa - ni lazima kumkumbusha huyo rafiki yako wa kiume. Na mnapoanza mahusiano lazima mwanzo kabisa muulizane hivi ni kwa nini mna hayo mahusiano ya kimapenzi na mwisho wake ni nini? je, ni lifetime relationship au just for pleasure au short term - hit and run? Na mwisho ni kuwa na tabia njema - hivi mwanamke kila siku ana bwana tofauti, lugha chafu, muda wote yuko bar, ofisini board members wote wa kiume wamekwisha chapa, too demanding - kila fashion anataka; kuolewa ni bahata sana, na ndoa kudumu pia ni bahati sana.

Marafiki nao wanachangia wanawake kutokuolewa, mfano hai, mwanamke anamwambia rafiki yake nimepata mchumba, rafiki yake anamwuliza huyo jamaa ana-drive, anafanya kazi ya 'white collar, senior officer sehemu fulani au blue collar. Halafu anamwambia tafuta spare tyre kwani huyo akikuacha unakuwa na mwingine. Sasa ukitafuta spare tyre halafu yule mwenye nia ya kweli akagundua unategemea nini kitokee kama sio jamaa kutokutokea siku ya ndoa!!!

Pia tujiulize, je wanaume wote wameoa ukitoa mapadre, mabruda na matoashi?
Pia walioachika wafanyeje?!!

Hapa nimejaribu ku-unpack alichosema Gaga though not very sure!!

Kinachoongelewa ni kwamba idadi ya waoaji hailingani na waolewaji, kama sikosei mtoa mada analenga hapo. ukiachilia mbali kutobalance kwa gender kwa maana ya populations globally (sina uhakika sana) lakini pia idadi ya wanaume wenye uwezo wa kuoa kwa maana ya kipato na sense of responsibility wanapungua kila kukicha. Hapa nadhani ndio llinakuja suala la hawa wanaovaa kata key na kujitembeza au kubadili badili wanaume ni kujaribu ku force demand ili kuona anaweza kupata wa kwake wa kudumu.

Hii mada nadhani ni nzito ijadilliwe kwa uzito wake.
 
Kinachoongelewa ni kwamba idadi ya waoaji hailingani na waolewaji, kama sikosei mtoa mada analenga hapo. ukiachilia mbali kutobalance kwa gender kwa maana ya populations globally (sina uhakika sana) lakini pia idadi ya wanaume wenye uwezo wa kuoa kwa maana ya kipato na sense of responsibility wanapungua kila kukicha. Hapa nadhani ndio llinakuja suala la hawa wanaovaa kata key na kujitembeza au kubadili badili wanaume ni kujaribu ku force demand ili kuona anaweza kupata wa kwake wa kudumu.

Hii mada nadhani ni nzito ijadilliwe kwa uzito wake.

one man one wife ililenga kuzuia ngono....lakini siyo kila kwenye polygamy kuna ngono...........na si kweli katika kila monogamy hakuna ngono....................na tupende tusipende Muumba kila kizazi amehakikisha wanawake ni wengi kulikoni wanaumme........ili kulinda heshima ya mwanaumme.....................................kama ulikwisha ishi maeneo yenye wanawake wahache ikilinganishwa na idadi ya wanaumme kama baadhi ya vyuo tulivyovisoma sisis enzi zile utajua kraha za hao mabibie................................hujisikia sana na kutesa midume....................................lol
 
Tafadhari soma mada vizuri utupe majibu sahii, wasioweza kuolewa wafanyeje??? manake inawezekana kabisa mwanamke kukosa wa kumuoa si kama mwanaume ambaye akiamua wakati wowote hata kama ana miaka 70 aweza oa!

Mulama hata wewe mchango wako wahitajika hapa.............
 
one man one wife ililenga kuzuia ngono....lakini siyo kila kwenye polygamy kuna ngono...........na si kweli katika kila monogamy hakuna ngono....................na tupende tusipende Muumba kila kizazi amehakikisha wanawake ni wengi kulikoni wanaumme........ili kulinda heshima ya mwanaumme.....................................kama ulikwisha ishi maeneo yenye wanawake wahache ikilinganishwa na idadi ya wanaumme kama baadhi ya vyuo tulivyovisoma sisis enzi zile utajua kraha za hao mabibie................................hujisikia sana na kutesa midume....................................lol

Yaani wewe una wivu sana aise! hii umeni quote mimi lakini umetoa avatar yangu ili iweje aise? mimi naona umenikamia kweli leo!! naomba suruhu please!!
 
. . . . Mtu asiye na mke hujishughulisha na kazi ya Bwana jinsi atakavyo mpendeza Bwana. Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,naye amegawanyika. Mwanamke asiyeolewa au bikira hujishughulisha na mambo ya Bwana apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Lakini mwanamke aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii jinsi ya kumpendeza mumewe. 1wakorintho 7:32-34



huu ndo uelewa wangu!



yaan hii ndo mambo




"THE ONLY ABSOLUTE TRUTH IS THAT THERE ARE NO ABSOLUTE TRUTHS"
 
Back
Top Bottom