Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
mtaji wa ccm ni wazee!hivyo kutoandikishwa wapiga kura wapya ni mtaji kwa ccm!ila 2015 wanauhakika wataondoka patupu
Umenena mkuu...tunahitaji hata awamu moja tu ya kuboresha daftari hapo ndo utakuwa mwisho wa gambaz.