The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Mabibi na mabwana heshima mbele.
Taarifa za uhakika kabisa walimu walioomba kusimamia uchaguzi jimbo la Karagwe wamemwagwa pwa! Kwa mfano kata za Kayanga na Ndama wamechukuliwa watu wa kawaida (bila shaka mrengo wa JK). Hii inatafsiriwa kuwa ni hofu ya Mkulu juu ya Umma wa wafanyakazi usiomfagilia. Habari ndiyo hiyo
Taarifa za uhakika kabisa walimu walioomba kusimamia uchaguzi jimbo la Karagwe wamemwagwa pwa! Kwa mfano kata za Kayanga na Ndama wamechukuliwa watu wa kawaida (bila shaka mrengo wa JK). Hii inatafsiriwa kuwa ni hofu ya Mkulu juu ya Umma wa wafanyakazi usiomfagilia. Habari ndiyo hiyo