Nishajaribu mara Jk alipochaguliwa mara ya kwanza na majibu "wewe changia taifa lako achana na sisi" na nimeyaona mwenyewe baada ya miaka mitano jinsi gani hawataki ujue kitu gani Ikulu inafanya kazi.
Wajanja sana katika kuficha uzembe wao, wameanzisha blog badala ya official website ya Ikulu. Wanajua hawawezi ku maintain kitu official official watakua wanachemka kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.