by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Leo Jumatano tar. 03 OCT 2012 saa nne asubuhi katika kipindi cha meza ya busara, Wapo Radio fm 98.00 DSM au sikiliza http://www.ustream.tv/channel/wapo-radio-fm Kipindi cha meza ya busara utawasikia Makamanda wa Chadema wakifafanua juu ya M4C na Tuhuma za Kukifanyia Vurugu Chama Cha CUF.
Nayo Majembe ya CUF, yatakuwa yakifafanua juu ya V4C ''Dira ya Mabadiliko' na kujibu tuhuma za kutumiwa na CCM, kuisambaratisha chadema.
Usikose!
Nayo Majembe ya CUF, yatakuwa yakifafanua juu ya V4C ''Dira ya Mabadiliko' na kujibu tuhuma za kutumiwa na CCM, kuisambaratisha chadema.
Usikose!