Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
Huu uzi hapa siyo mahali pake, halafu kuna vitu vingi inaonekana mtoa mada havijui, acha kuzungumza umbea ongea fact, JF siyo sehemu yako rudi kule FB.
sasa issue ni nini hapa? huyu si malaya tu?
ana mvuto kimapenzi na nadhani ataendelea kuwavutia viti maalum ccm atapata kwani hata makofi bungeni ni mpigaji