Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
Tapeli ****** yako!
Hata kama una chuki naye huwezi mfananisha hivyo, huna mamlaka ya kututukana sisi wana Arusha tuliomchagua awe Mbunge wetu. Sisi ndio tunaomjua Lema siyo wewe uliyejaa udini mpaka kwenye haja.
Inaonyesha wewe kwa namna moja ama nyingine umehusika kuwaua raia wasio na silaha.
NYAAAMBAFF!!!!