Wasifu wa Elimu wa Dr. Mary Mwanjelwa

Labda alipewa uDr wa heshima pale UDOM/UDSM unajua tena hivi vyuo vyetu vinapenda kujkomba kwa wanasiasa.

Kuna kipindi kulikuna na nafasi bungeni zilikuwa zinagombewa, wakati anaomba kura aliulizwa swali ka ana u dk wa kusomea au la, alijibu ni wa heshima ila hakusema alipewa na chuo gani.
 
hawezi kuwa mpambanaji wala kuwaletea maendeleo wakaazi wa mbeya. Chunguza vizuri, kwa yeye kudanganya kuhusu elimu yake tu kunatosha kutomwamini kwa lolote afanyalo kwani hajiamini. Na hata hayo machapisho yake yanatia shaka; huenda kaandikiwa. Lakini haiwezekani akawa kapata udakitari wa heshima kama walivyo wanasiasa wengi wa nchi yetu?
Mkuu,wewe unahushaidi gani kama huyu dada kafoji elimu yake? kwanini usiende kwenye hizo sehemu zote alizopata elimu yake
ili ujilidhishe mwenyewe? huoni kama itakuwa vizuri sana kama utaenda huko na kutuletea ushahidi? tupunguze chuki jamani!
 
Hii ni kesi ya jinai, yaani hata hivyo vyeo anavyojianfikia siyo genuine. Jina nalo kachakachua kwa vile yeye ni Kyando na siyo Mwanjelws
Tatizo baadhi yetu hatutaki kuumiza vichwa vyetu ili tupate ukweli wa mambo! Mkuu,huyu ni mwanasiasa kijana kama alivyo Halima
Mdee wa CDM....pili hana ufisadi wowote zaidi ya ngonjera za mataulo anazopakaziwa na magamba wenzake. Huyu dada ni jembe
zuri sana kwa muhstakabari wa nchi yetu....namkubari huyu dada kama ninavyowakubari wabunge wa chama langu CDM.
 
Tatizo baadhi yetu hatutaki kuumiza vichwa vyetu ili tupate ukweli wa mambo! Mkuu,huyu ni mwanasiasa kijana kama alivyo Halima
Mdee wa CDM....pili hana ufisadi wowote zaidi ya ngonjera za mataulo anazopakaziwa na magamba wenzake. Huyu dada ni jembe
zuri sana kwa muhstakabari wa nchi yetu....namkubari huyu dada kama ninavyowakubari wabunge wa chama langu CDM.

Wala si mwanasiasa kijana kama H.Mdee hata kidogo... Picha tu inadanganya watu... Kumbuka kamaliza la saba,1977! Yaani inaonyesha angeweza kumzaa hata Mdee na Zitto! Achilia mbali R.Mtema(RIP)

sema cha kujiuliza,kuna miaka takkribani 18,haijulikani alikuwa wapi na anafanya nini! Baada ya kumaliza A level hadi alipoenda kuchukua Adv. Diploma!
Alikuwa house girl,mkulima kijijini,au kitu gani.. Ingawa naamini kabisa siyo jela..
 
Sasa wewe umeleta wasifu wa huyu muh.ili tufanyaje? Wananchi hatujali elimu ya mtu wala wasifu wake....tunachojali ni utendaji wake wa kazi tu basi. Maana kama ni elimu viongozi wa serikali ya ccm wamesoma hadi mwisho wa dunia'lakini hakuna chochote wanachoki
fanya zaidi ya kuwaibia wananchi tu (full ufisadi). Alafu kwanini usihoji u DR wa Kikwete?. Kwanza huyu Mary mwanjelwa ni mpambanaji sana kwa kuwatetea na kuwaletea maendeleo wakazi wa mkoa wa Mbeya....sema hili lichama alilokwenda (ccm)
ndilo linalomuharibia.

ndugu anapambana wapi? haya maneno tulishayazoea, amefanya nini mpaka leo? watu wanasota mpaka leo hii hakuna cha mbolea ya ruzuku kisingizio kumchagua sugu, shuleni hakukaliki hakuna madawati na shule kibao hazijachukua wanafunzi form one kisa majengo hakuna, anapeleka shs 150,000/= maisha yamekuwa hovyo na ndiyo kwanza mkurugenzi wao anaongeza ushuru wa mboga sokoni kuwa kutoka shs 200/= hadi shs 500/= bila ushirikishi na kuangalia hali iliyopo na wakati huohuo kanunua gari mpya ya kutembelea wakati zilizopo ni mpya bado na zimenunuliwa 2010 nissan patrol angali akijua budget ya halmashauri yenyewe imekwama kufikiwa kwa zaidi ya asilimia 35-40% kutokana na kupeleka makisio hewa (shallow estimates) kama mauzo ya viwanja walikotarajia kupata jumla ya shs 5b na kukamilika kwa soko la mwanjelwa kungeingiza jumla ya shs 3b. twambie huyo dr wako kachukua initiative zipi? mpaka umwite mpambanaji? hosteli alizoziacha mkurugenzi kabwe mpaka leo ni ndoto kuisha, hebu tuwe wakweli hapa hakuna mtu labda umeona kitenge na vingine tu.
 
Ndugu yangu MshikaChuma wewe unasumbulia aidha na "ujinga/uporini" au na mahaba kwa Dr. huyu fake. Shoplifting ni tabia na wala sio lazima ni kwasababu ya dhiki. US na Ulaya kuna celibrity na ma-bilionnaire kibao lakini wana tabia ya shop lifting wanapo kwenda kwenye malls. Huyu Mh. aliiba matauro ya hoteli sio kwamba hana uwezo wa kuya nunua bali ana tabia ya udokozi. Mtu mwenye tabia ya aina hii hawezi kuwa trusted kupewa public office kwenye enyi za wenzetu wanaofuata ethics za uongozi.

Kudanganya/kusema uongo kuhusu elimu ni kosa la jinai, hata hapa kwetu ambapo ethics za uongozi tumeziweka pembeni. Refer kesi ya Kihiyo Ubungo. Ukijumlisha mambo hayo yote mawili yanamuondelea sifa ya kuwa kiongozi. Kudhihirisha jinsi alivyo notorious offender wa kuchakachua elimu CV yake yote imejaa utata tangia O level hadi hiyo Dr yake.

Kujiunga CDM ahaiwezi kwasababu anafahamu huko hakuna nafasi kama umechachacua elimu, hilo linaweza kuvumiliwa CCM, kwasababu ni mojawapo ya sera isiyo rasmi ya CCM!

Kihiyo alikuwa Temeke na siyo ubungo mkuu.
 
Si bure! Hapa lazima kuna kitu, spidi ya mafanikio ni kubwa kuliko kawaida. Atakuwa na kinachombeba.
 
Sasa wewe umeleta wasifu wa huyu muh.ili tufanyaje? Wananchi hatujali elimu ya mtu wala wasifu wake....tunachojali ni utendaji wake wa kazi tu basi. Maana kama ni elimu viongozi wa serikali ya ccm wamesoma hadi mwisho wa dunia'lakini hakuna chochote wanachoki
fanya zaidi ya kuwaibia wananchi tu (full ufisadi). Alafu kwanini usihoji u DR wa Kikwete?. Kwanza huyu Mary mwanjelwa ni mpambanaji sana kwa kuwatetea na kuwaletea maendeleo wakazi wa mkoa wa Mbeya....sema hili
lichama alilokwenda (ccm)
ndilo linalomuharibia.
Usiwasemee wananchi...wewe kwa sababu zilizo dhahiri kwako kama hujali mtu kujipa sifa za uongo za kielimu ni tatizo. Kiongozi anatakiwa kuwa mkweli na mwaminifu. Mpambanaji anaeiba hotelini na kusema uongo hana uhusiano wowote na maendeleo ya wananchi.
 
Sasa wewe umeleta wasifu wa huyu muh.ili tufanyaje? Wananchi hatujali elimu ya mtu wala wasifu wake....tunachojali ni utendaji wake wa kazi tu basi. Maana kama ni elimu viongozi wa serikali ya ccm wamesoma hadi mwisho wa dunia'lakini hakuna chochote wanachoki
fanya zaidi ya kuwaibia wananchi tu (full ufisadi). Alafu kwanini usihoji u DR wa Kikwete?. Kwanza huyu Mary mwanjelwa ni mpambanaji sana kwa kuwatetea na kuwaletea maendeleo wakazi wa mkoa wa Mbeya....sema hili lichama alilokwenda (ccm)
ndilo linalomuharibia.

kushindwa kutambua umakini wa chama kinacho mdhamini ktk mapambano yake inamwondolea umakini na kukubalika machoni pangu na kwa watu wengine makini.
 
Hata kama ni U-Dr. wa heshima basi toa chuo na mwaka aliyo upata otherwise katika tanzania, katika mambo kama haya bunge litapoteza heshima. Bunge linatakiwa liwe mfano wa kuigwa. Lakini kinachoonekana pamoja na kwamba hawa wanajua kuwa wanatakiwa waakikishe hivyo wamekuwa mfano mbaya wa kuigwa. Hebu angalia mkapa amepata hizi sijui za kupewa ngapi? mbona hazitumii Huu ndio uungwana kama kiongozi wa kitaifa.

Hili la kudanganya hata kama unaongea kama kasuku sijui nini halikubaliki.
 
Kweli watz tuna safari ndefu sana kwenda kwenye maendeleo ya kweli. Kama mtu anadanganya elimu tu je kwenye kusimamia mali za umma si ndio itakuwabalaa, kumbe ndio maana kila siku tunabaki kuwa taifa la walalamikaji
 
  • Thanks
Reactions: Ame
kushindwa kutambua umakini wa chama kinacho mdhamini ktk mapambano yake inamwondolea umakini na kukubalika machoni pangu na kwa watu wengine makini.
Kwa hapa nakubaliana na wewe 100% kuwa chama chake ndiyo kinachomuangusha....ccm imepoteza mvuto mbele ya jamii.
 
i think haya mambo ya kupeana titles kama tuko kwenye vijiwe vya kahawa yanatakiwa yatungiwe sheria nchi hii

You are very right MTM kwani hii inaondoa kabisa motisha kwa watu kusoma kwa kuelimika na kuleta maendeleo badala yake watu wanashindana kwa vyeti na majina ambayo haya reflect uhalisia wa elimu. Inasababisha watu kupenda kupanda haraka haraka kwenye ecademics hata kama hakuna merits. Hii hali ni kila mhali hadi vyuo vikuu inasikitisha sana baadhi ya wanaojiita profesors ukiangalia walivyo ufikia utatamani kulia no wonder hakuna maendeleo bali malumbano tu yasiyoisha.

Kuna uhaba mkubwa wa specialists kwenye idaraza na faculties za vyuo vikuu vyetu na hakuna vetting kabisa watu wengi wamesomea fani zinazofanana ambazo ni rahisi kupata zile ngumu hakuna anayeenda kusomea..Inashangaza hata madaktari wameanza kuchakachua elimu zao utaona wanaenda kusoma vitu ambavyo havi add value kwenye taaluma zao (Japo wao si sana lakini mwanzo wa ngoma ni lele). Tujiangalie sana tunakoenda tutabakia kuwa watumwa tu simply hatuna think tank na baadaye ikijadhihirika basi ndiyo hivyo tutaanza kualika expatriates from abroad.

Lakini pia tukumbuke elimu imerahisishwa sana na ukuaji wa technology so siyo lazima wote wanaosoma kwa muda mfupi na kwa ditance learning ni vihiyo bali hii trend ya politicianas na technochrats kutokuwa honest kwenye academic ikizoeleka baadaye ita develop kuwa culture so ni bora kuwe na adhabu kali kwa watakao onekana kukosa maadili ili kujenga socila capital.
 
Huyo ni usingizi wa mzee, taarifa toka vyanzo vyetu zinaonyesha mzee kamnunulia Bungalow maeneo ya Mbezi Beach kuelekea Goba karibu na shule flani ya Nursery. So kuitwa Dr. Msishangae sana. Waswahili wanasema ongea na watu uvae viatu. Dr. Mwanjelwa kafanikiwa katika hilo.

Lakini ukitazama CV za viongozi wetu via Tovuti ya Bunge kwa kweli zaidi ya 50% zimekaa kimagumashi, nlishawahi kuliongelea hili. Inatupa tabu kuelewa kuwa ni typing error au ni magumashi tu???CV hazina utaratibu uliokubalika, kila Mbunge anakuja na style yake wakati ingependeza kama kungekuwa na format ya aina moja. Mara details za CV za wabunge wengine hakuna. Mara wengine wametoka certificate wakapata Master Degree yaani ni vululu vululu. Hii ni aibu kwa Taifa. Hebu ziangalie mwenyewe zilivyokaa kaa.

http://www.bunge.go.tz/bunge/allmem...=350&users2=13&imageField.x=27&imageField.y=7
 
Back
Top Bottom